Mimi ni Fundi Ujenzi mzoefu nahitaji kazi.

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Dec 26, 2017
17,926
45,384
Wakuu Assalam alykum.
Mimi ni Fundi wa Kampuni ya Estim construction ila kwa sasa niko Zanzibar
Nimefanya kazi kwenye majengo mengi Dar e Ssalaam yaliyojengwa na Kampuni ya Estim, kama Viva Tower, Pspf 1 na Pspf 2 Pale bandarin Yale majengo mawili marefu
Pia Zanzibar nimejenga Hotel ya Bakhresa inayoitwa Verde hotel iliyoko mtoni marine.
Pia nimejenga Fumba town na nk.
Wakuu mimi ni fundi mzoefu na mzuri ambaye gharama zangu sio kubwa ukilinganisha na ubora wa Kazi zangu .
Kwa sasa hivi Niko Zanzibar.
Upande wakupiga lipu tunapiga lipu kwa Square meter moja kwa elf 1600 tu kama ambavyo tunalipwa kweny kampuni ...pia tofari moja tunalijenga kwa 200 kama kwenye... Kampuni.
Kuweka floor tunaweka kwa elf 1000 square meter 1
Gharama zangu ni nafuu ukilinganisha na huduma zangu.
Nb iyo 1600 plaster ni kwamba natimanzi naweka moja kwa moja hili kupata geji ya Udongo utakaoingia ukutani.

NAMBA YA SIMU NI : 0787 579 364
 
Safi sana mkuu nikipata mhitaji nitakuja PM.
Wakuu Assalam alykum.

Mimi ni Fundi wa Kampuni ya Estim construction ila kwa sasa niko Zanzibar

Nimefanya kazi kwenye majengo mengi Dar e Ssalaam yaliyojengwa na Kampuni ya Estim, kama Viva Tower, Pspf 1 na Pspf 2 Pale bandarin Yale majengo mawili marefu

Pia Zanzibar nimejenga Hotel ya Bakhresa inayoitwa Verde hotel iliyoko mtoni marine.

Pia nimejenga Fumba town na nk.

Wakuu mimi ni fundi mzoefu na mzuri ambaye gharama zangu sio kubwa ukilinganisha na ubora wa Kazi zangu .

Kwa sasa hivi Niko Zanzibar.

Upande wakupiga lipu tunapiga lipu kwa Square meter moja kwa elf 1600 tu kama ambavyo tunalipwa kweny kampuni ...pia tofari moja tunalijenga kwa 200 kama kwenye... Kampuni.

Kuweka floor tunaweka kwa elf 1000 square meter 1

Gharama zangu ni nafuu ukilinganisha na huduma zangu.

Nb iyo 1600 plaster ni kwamba natimanzi naweka moja kwa moja hili kupata geji ya Udongo utakaoingia ukutani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo huwa mkiitiwa dili mnaanza kutaka pesa ndeefu. Hilo tofali moja kujenga mtataka sh. 500 hadi 800! Utadhani nyie hamuishi Tanzania ya sasa.
 
Wakuu Assalam alykum.

Mimi ni Fundi wa Kampuni ya Estim construction ila kwa sasa niko Zanzibar

Nimefanya kazi kwenye majengo mengi Dar e Ssalaam yaliyojengwa na Kampuni ya Estim, kama Viva Tower, Pspf 1 na Pspf 2 Pale bandarin Yale majengo mawili marefu

Pia Zanzibar nimejenga Hotel ya Bakhresa inayoitwa Verde hotel iliyoko mtoni marine.

Pia nimejenga Fumba town na nk.

Wakuu mimi ni fundi mzoefu na mzuri ambaye gharama zangu sio kubwa ukilinganisha na ubora wa Kazi zangu .

Kwa sasa hivi Niko Zanzibar.

Upande wakupiga lipu tunapiga lipu kwa Square meter moja kwa elf 1600 tu kama ambavyo tunalipwa kweny kampuni ...pia tofari moja tunalijenga kwa 200 kama kwenye... Kampuni.

Kuweka floor tunaweka kwa elf 1000 square meter 1

Gharama zangu ni nafuu ukilinganisha na huduma zangu.

Nb iyo 1600 plaster ni kwamba natimanzi naweka moja kwa moja hili kupata geji ya Udongo utakaoingia ukutani.
namba ya simu mbona hujaweka
 
Back
Top Bottom