Mimi ni dereva mwenye leseni inayoniluhusu kuendesha abiria na nina hati ya tabia njema kutoka wizara ya mambo ya ndani, natafuta gari ndogo ya mkataba kwaajili ya kazi ya kubeba abiria (Uber).
Usitume lesen kijana wengi wezi wanaokwambia tuma lesen wanaenda kutengenezea account zngne za bolt au uber kwa kuziedit au kutumia namba yako pindi wakifanya makosa barabaran ....achana nae n tapel
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.