Mkwawa mnyalukoro
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 232
- 136
Wakurugwa naomba kuuliza Mimi ni mwanafunz ninayeingia MWAKA Wa pili sasa MWAKA Jana sikupata loan HESLB lakin MWAKA huu NIMEOMBA TENA JE NAWEZA KUPATA?Je kuna continues student ambaye alishawah kupata humu ndani?
Naona WATU wanadai eti mkopo kipaumbele ni first year tu
Naona WATU wanadai eti mkopo kipaumbele ni first year tu