the guy is mentally disturbed?Mmiliki au mwandishi!? Ina maana hata nikikinunua bado wewe utakuwa mmliki!?
angecopy na kupaste tuone!Ulichoandika ni sahihi
Ila sijaelewa lengo la hii thread ni lipi maana unaonekana kama kuna mtu ulitaka ajue hilo baada ya mabishano yenu au tetesi flani kuhusiana na umiliki wa hicho kitabu
umeongea point!Huyu jamaa kama ana ndugu wa karibu humu namshauri wachukue hatua kumpeleka kwa psychologist hayupo sawa kichwan
huyu jamaa wangempokonya gadgets zote anazotumia,kumuepushia dhahama!Unajua mkuu wewe una assume kwamba wewe ni superstar na kila mtu anakujua. What is so special with you that you want our attention? Yaonekana upo nchi ya kufikirika. Karibu Tanzania na onyesha vipaji yako na avoid cheap popularity.
Sawa na wwe umeyaelezea vipi kila mtu anamtazamo wake kwa yanayoendelea kwa sasaYanayoendelea Tanzania kwasasa ndio yamo humo.
Deo u anahitaji muda mwingi sana wa mapumziko na kujitathimini, maana huko unakoelekea ni kubaya.
Mbona unaonekana una mashaka kaka....acha mashaka mashaka
Yaaani we jamaa ni wa ajabu ajabu huwa sijuelewi
Sijui unataka nini humu na sredi zako uchwara
Yaaaan haeleweki ni ccm au chadema ? Ila mshirikina