humblemimi
Member
- Apr 14, 2021
- 7
- 5
Habari za majukumu wapendwa wana JF,
Mimi nasumbuliwa na fangasi (kama utangotango/mba) katikati ya mapaja, kulikopelekea sehemu hiyo kuwa nyeusi sana.
Fangasi hizo haziwashi bali zinakuwa kama unga unga, yaani kama ngozi inababuka, lakini haiwashi wala kutoa harufu.
Moderators kama naruhusiwa kuweka picha,nitaweka ili nipate msaada zaidi.
Nawashukuruni sana.
Mimi nasumbuliwa na fangasi (kama utangotango/mba) katikati ya mapaja, kulikopelekea sehemu hiyo kuwa nyeusi sana.
Fangasi hizo haziwashi bali zinakuwa kama unga unga, yaani kama ngozi inababuka, lakini haiwashi wala kutoa harufu.
Moderators kama naruhusiwa kuweka picha,nitaweka ili nipate msaada zaidi.
Nawashukuruni sana.