Matendo Andrew
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 748
- 365
Watanzania wenzangu unajua kunamambo huwa hayahitaji kutumia nguvu wala akili nyiiingi sana.
Hebu tujifunze kua uweredi wa mafundi kinyozi huyu jamaa halipwi kulinganga na mashine yake kukaa sana kichwani kwa mteja bali kunyoa haraka na vizuri ndio kunampa umahiri wa kazi yake.
Tofauti na mafundi radio au gari, unaweza kumpa radio akajizungusha siku nzima halafu akakwambia imekufa AC kumbe alikua kabisa radio nzima ila cable ya umeme ndio mbovu.
Nimetoa mfano kwasababu ya level yangu ya elimu ambayo najivunia sana kuwa nayo ni Std 7.
Sasa suala la Tume Huru ya Uchaguzi na mambo mengine yote yanayotuvuruga na kujaribu kutuingiza kwenye malumbano na machafuko shida ipo kwenye (katiba tu) kwahiyo watu kama ACT kushiriki uchaguzi Mbagala Kuu na sehemu nyingine wakati kikijua kwamba wao nimoja kati ya vyama pendwa vya kisiasa ni sawa na kuikalisha mashine mda mrefu kichwani wakati utalipwa hela ileile.
Au hawakujua kwamba kushiriki kwao kunawapa uhalali CCM kujiona wapo juu? Haya sasa mmeshindwa vibaya; imesaidia nini wenzenu walishajiridhisha kwamba hakuna njia nyingine bali ni Tume Huru ya Uchaguzi ambayo shina lake ni Katiba.
Hata mimi nasema katiba mpya kwanza. Tume huru itajileta automatically
Hebu tujifunze kua uweredi wa mafundi kinyozi huyu jamaa halipwi kulinganga na mashine yake kukaa sana kichwani kwa mteja bali kunyoa haraka na vizuri ndio kunampa umahiri wa kazi yake.
Tofauti na mafundi radio au gari, unaweza kumpa radio akajizungusha siku nzima halafu akakwambia imekufa AC kumbe alikua kabisa radio nzima ila cable ya umeme ndio mbovu.
Nimetoa mfano kwasababu ya level yangu ya elimu ambayo najivunia sana kuwa nayo ni Std 7.
Sasa suala la Tume Huru ya Uchaguzi na mambo mengine yote yanayotuvuruga na kujaribu kutuingiza kwenye malumbano na machafuko shida ipo kwenye (katiba tu) kwahiyo watu kama ACT kushiriki uchaguzi Mbagala Kuu na sehemu nyingine wakati kikijua kwamba wao nimoja kati ya vyama pendwa vya kisiasa ni sawa na kuikalisha mashine mda mrefu kichwani wakati utalipwa hela ileile.
Au hawakujua kwamba kushiriki kwao kunawapa uhalali CCM kujiona wapo juu? Haya sasa mmeshindwa vibaya; imesaidia nini wenzenu walishajiridhisha kwamba hakuna njia nyingine bali ni Tume Huru ya Uchaguzi ambayo shina lake ni Katiba.
Hata mimi nasema katiba mpya kwanza. Tume huru itajileta automatically