Ndo mimi mkuu nimetoka kidogo kunyoosha miguu.nitarudi baadaeinasemekana kuna vichaa wamekimbia milembe na mmoja wao inasemekana yumo humu..nadhanin unaweza ukawa ni muhusika sanah
Na bendera hufuata upepovitu vingne vinaendaga na historia...je kwenye familia au ukoo kuna mtu wa namna hiyo?sasa kama ukoo wote wa vichaa tupu usitegemee mtu kichwa kutokea hapo jamani
ukoo mzima una watu wenye fedha chafu ..ni ngumu kumkuta mtu ndani ya ukoo huohuo mskini wa kutupa..umasikini wake atamiliki hata vitz basi...MAJI HUFATA MKONDO
Mi siyo genius mkuu ndo maana nataka wanangu kama kuna uwezekano wawe vizuri kiasiMleta mada wewe Mwenyewe ni genius au la. Kama wewe ni genius ni vizuri kuwaulizia waliokuleta dunia ndo watu wa kwanza kabisa walikulea vipi ulikuwa unapatiwa Kila unachokitaka.
SIO DOKTA ,ATAFUTE MSAIKOLOJIA JAMII ALIYE BOBEA KATIKA SAIKOLOJIA YA UZAZI, MAKUZI NA MALEZI YA MTOTO!Tafuta Dr bingwa wa masuala hayo hasa kwenye hospitali kubwa akushauri.
SawaSIO DOKTA ,ATAFUTE MSAIKOLOJIA JAMII ALIYE BOBEA KATIKA SAIKOLOJIA YA UZAZI, MAKUZI NA MALEZI YA MTOTO!
mkuu jiby maswali post # 49Wakuu ninafahamu humu kuna watu wenye uelewa wa hali ya juu sana kuhusu afya. Tunaomba muongozo wenu wa namna wa kupata Giniasi wa kike.
Tutashukuru sana kwa muongozo wenu
Kijana unanishangaza sana, eti unataka mtoto wa kike giniasi! kwanza mmeshajitathimini historia yenu? isije ikawa nyie ni vihiyo halafu unaleta swaga za maginiasi. Any way jaribu kumtafuta Dr matunge atakupa majibu.Wakuu ninafahamu humu kuna watu wenye uelewa wa hali ya juu sana kuhusu afya. Tunaomba muongozo wenu wa namna wa kupata Giniasi wa kike.
Tutashukuru sana kwa muongozo wenu
kumbe unajua vizuri sanah....dopeeNa bendera hufuata upepo
swali la msingi kwa swali la kishenziKwa nini unataka awe Genius?
Sasa mkuu ningekuwa ginias ningetakaa msaada humu? Yaani wewe na wenzio mliouliza hili swali mmenishangaza uwezo wenu wa kunisaidia kama upoKijana unanishangaza sana, eti unataka mtoto wa kike giniasi! kwanza mmeshajitathimini historia yenu? isije ikawa nyie ni vihiyo halafu unaleta swaga za maginiasi. Any way jaribu kumtafuta Dr matunge atakupa majibu.