The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 963
- 1,055
Daaah
Leo nmesajili line ya vodacom ya kawaida kwa shilingi 1000 tuu
Nikabonyeza *149*03#
Daaah nilichokikuta sijaamini
500 -Mb 300 kwa week
2000-GB 5 kwa week
5000-GB 10 kwa week
Daaah kiukweli mungu hamtumpi mja wakee
yaani hapa ni kushusha series na movie na software tuu
Jaribu bahati yako.
Leo nmesajili line ya vodacom ya kawaida kwa shilingi 1000 tuu
Nikabonyeza *149*03#
Daaah nilichokikuta sijaamini
500 -Mb 300 kwa week
2000-GB 5 kwa week
5000-GB 10 kwa week
Daaah kiukweli mungu hamtumpi mja wakee
yaani hapa ni kushusha series na movie na software tuu
Jaribu bahati yako.