miss chuga
JF-Expert Member
- Dec 25, 2019
- 303
- 651
- Thread starter
- #21
Ngoja basi nianze kwendaUnapojigundua ni mjamzito haraka fika kituo cha afya tunatangaziwa redioni kila siku.
Ngoja basi nianze kwendaUnapojigundua ni mjamzito haraka fika kituo cha afya tunatangaziwa redioni kila siku.
Hayo mambo Mungu amekataza.Labda kwa mpalange kama itahusika
Basi blow jobHayo mambo Mungu amekataza.
Nenda mapema na uanze kutumia folic acid kama bado hujaanza.Ngoja basi nianze kwenda
Mimi sijasema ni wewe tu.Basi blow job
Sawa basi hio hio unayoijua weweMimi sijasema ni wewe tu.
Asante sana, kwahyo hi folic acid nikienda kliniki ndo wananipa au natakiwa nikatafute maduka ya dawaNenda mapema na uanze kutumia folic acid kama bado hujaanza.
Maduka ya dawa unapata na clinic unapata pia. Unaweza ukachagua uanze wapiAsante sana, kwahyo hi folic acid nikienda kliniki ndo wananipa au natakiwa nikatafute maduka ya dawa
Atakuwa satisfied kwa namna nyingine?? No no no no naomba na naamini unachomaanisha sicho ninacho kifikiriaWangu na wengineo. Anaweza kua satisfied kwa namna nyingine not necessarily to practice a sexual intercourse.
Hapo ni kwa mpalange tu mkuu. Sasa wew unafikir kuna nini hapoLabda kwa mpalange kama itahusika
Hahahahah maana mtoto kaniambia mambo ya unyagoni😅Hapo ni kwa mpalange tu mkuu. Sasa wew unafikir kuna nini hapo
Aliwazalo mjinga ndilo litakalomtokea aliimba mkali wa rhymesAtakuwa satisfied kwa namna nyingine?? No no no no naomba na naamini unachomaanisha sicho ninacho kifikiria
Ukikua hutowaza mambo potofuHahahahah maana mtoto kaniambia mambo ya unyagoni
Hakikisha uende nae coz kama ni reproductive problems huwa wanaume wengi wanajitibu wakiumwa ili wake zao wawe guilty!! Hata akipona utamuambukiza tena and atakuambukiza tena nawewe ndo itakutesa so hakikishaKabla ya ujauzito halikuwepo pia kliniki naskia sijui natakiwa nianze na miezi mitatu, hivi siku ya kwanza kuanza kliniki si ndiyo napimwa kila kitu na baba mtoto au inakuwaje?
Huwezi jua kuwa unadanganywa mpaka pale utakapothibitisha kuwa unadanganywa.Wangu na wengineo. Anaweza kua satisfied kwa namna nyingine not necessarily to practice a sexual intercourse.
Wee mwanamke unajitambha kabisa. Yaani wee mpe tuu mume huo utamuMimi kuvumilia naweza tatizo nahofia mme Wangu ataishije bila kupewa chakula chake nisije nikamfanya akaanza kutamani vya nje nilaletewa magonjwa
itampa shida wakati wa kujifunguaHapo ni kwa mpalange tu mkuu. Sasa wew unafikir kuna nini hapo
Unaacha kuhofia afya ya mtoto aliye tumboni unahofia mume wako ataanza kupiga mechi za nje?!Mimi kuvumilia naweza tatizo nahofia mme Wangu ataishije bila kupewa chakula chake nisije nikamfanya akaanza kutamani vya nje nilaletewa magonjwa
Kumbe hata clinic mahudhurio haujaanza??Ngoja basi nianze kwenda