Salaam.
Kama title inavyo onyesha juu hapo naitaji msaada wakutambua jinsi yakutumia JF, kuna baadh yavitu vinanishinda kama vifwaatavyo.
1-Kuweka picha profile
2-Kulply chat yamtu mwingne
3-Kutaka kuanzsha mada.
Ndugu mwanajf naitaji maelekezo iri nam niweze kujumuika nakujurishana mambo tofaut tofaut hapa.
Natabguriza shukran zangu kwenu.
Kama title inavyo onyesha juu hapo naitaji msaada wakutambua jinsi yakutumia JF, kuna baadh yavitu vinanishinda kama vifwaatavyo.
1-Kuweka picha profile
2-Kulply chat yamtu mwingne
3-Kutaka kuanzsha mada.
Ndugu mwanajf naitaji maelekezo iri nam niweze kujumuika nakujurishana mambo tofaut tofaut hapa.
Natabguriza shukran zangu kwenu.