Ivan Breaker
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 1,379
- 5,447
...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda oysterbay tafuta ofisa mmoja ongea naye afu kawakamate uwapeleke.Oysterbay! Sijui ofisi yoyote ambayo inapatikana huko itayoweza kunisaidia. Kwa hapa Dar mimi ni mwenyeji kiasi si sana.
Kama zina umuhimu usipotezee dogo, rudi polisi tena mdake jamaa. Ila safari hii usimwachie laini zako bora uzichukue utajua wewe jinsi ya kuzipeleka tena.
Hapo huenda jamaa kaamua tu kukufanyia mbaya kisa umempeleka polisi, ko na yeye anakuonesha umwamba.
SASA NAELEWA KWA NINI JPM ALIMSHAURI PROFESA MBARAWA AVUTE BANGE.nikahisi labda kwa sababu ya upole wangu ndio maana wananifanyia vile
Ukivuta bange unakuaje kwani??SASA NAELEWA KWA NINI JPM ALIMSHAURI PROFESA MBARAWA AVUTE BANGE.
Utalipwa gharama zako zote za usumbufuna huyo mtuhumiwa.Alafu kingine nilichogundua ni kuwa ukienda kituoni na RB kwaajili ya kuchukua Askari wa kukusaidia, Askari tena hutaka kulipwa pesa ya ukamataji , na hiyo kumtoa Oysterbay naona kabisa atahitaji nimpatie pesa
jamaa mtaratibu sana, kila la heri huko alipo.Niliposoma, "Ni mimi mdogo wenu..." nikajua ni Infantry Soldier