Mimi Lunyungu Matandula nimeshangaa na nauliza sasa ni kwa nini wageni ?

Nimeingia hapa uwanja wa ndege wa JKN naelekeo Moscow kwa kazi yangu lakini maalumu , nikaamua kutembelea maduka haya ya duty free .Nimeshangaa kila mhindi namgusa ni msemaji ama wa kihindi na kiingereza .Kuna kadada humo ndani nakuuliza kulikoni hapa na vipi usalama wa uwanja wetu na pia vipi Visa zao ? Anasema hawa wana siku chache tangia watoke India na Pakistani na wanaingia kinyemela na asubuhi wanaibukia hapa ndani kuuza kwenye duty free shops.

Jamani nauliza tena kwa sauti mnisaidie vipi Usalama wa Nchi ? Usalama wa uwanja ? Vipi hakuna Wadanganyika wanaweza kuuza maduka yale ? Nime enda kwenye coffee shop pale nimekuta maajabu jamaa wanasema kuna uchafu zaidi na wanaomba nirudi wakati mwingine nipate nyeti.Kwa sasa nawasilisha mniombee nangoja kuchukua mchuma punde tu .

Ni ukosefu wa nadharia kusema eti kumejaa wahindi kusema hivyo ni kupinga kauli na maelekezo ya serekali tuliyoiweka kwakura nyingi chini ya chaguo la mungu Mtakatifu Rais wa Tanzania amekuwa akipita kila nchi kutangazia taifa letu na kuwashauri wawekaji kufika hapa nchini kuwekeza hawa jaama wameitikia wito wa mheshimiwa Rais wamefika na kulisaidia taifa baada ya wito wake sasa nyinyi mnakuja na vigezo eti muhindi nchi itaenda vipi bila ya wawekezaji ??wacheni mambo ya fitina kama hampendi kinachofanywa na serekali iliyoteuliwa kwa asilimia karibu 98na wapenzi wananchi wake ni afadhali mkatafuta mahali mkaelemea tuwachieni Rais wetu na viongozi wake waboreteshe nchi kutupatia wananchi hali bora ya kimaisha na serekali yetu kwa tarifa yenu serekali hii itakuwepo hapa ulimwengumpaka pale utamalizika kwa hiyo basi mkitaka msitake la muhimu hapa unganeni na serekali tusonge mbele chaguo la mungu hakuna wakulipinga isipokuwa yeye mwenyewe Mmungu
 
Ni ukosefu wa nadharia kusema eti kumejaa wahindi kusema hivyo ni kupinga kauli na maelekezo ya serekali tuliyoiweka kwakura nyingi chini ya chaguo la mungu Mtakatifu Rais wa Tanzania amekuwa akipita kila nchi kutangazia taifa letu na kuwashauri wawekaji kufika hapa nchini kuwekeza hawa jaama wameitikia wito wa mheshimiwa Rais wamefika na kulisaidia taifa baada ya wito wake sasa nyinyi mnakuja na vigezo eti muhindi nchi itaenda vipi bila ya wawekezaji ??wacheni mambo ya fitina kama hampendi kinachofanywa na serekali iliyoteuliwa kwa asilimia karibu 98na wapenzi wananchi wake ni afadhali mkatafuta mahali mkaelemea tuwachieni Rais wetu na viongozi wake waboreteshe nchi kutupatia wananchi hali bora ya kimaisha na serekali yetu kwa tarifa yenu serekali hii itakuwepo hapa ulimwengumpaka pale utamalizika kwa hiyo basi mkitaka msitake la muhimu hapa unganeni na serekali tusonge mbele chaguo la mungu hakuna wakulipinga isipokuwa yeye mwenyewe Mmungu


Nadhani tunaposhindwa kuelewana ni kuhusu hii nadharia ya kuleta wawekezaji. Taifa linatafuta wawekezaqji kusudi waje wafanya mambo mawili ya kulisaidia taifa kiuchumi: (a) wao wenyewe kufanya biashara na kujipatia ili walipe kodi serikalini (hii huchangia GDP,) (b) kutoa ajira kwa raia wetu (hii kupunguza unemployment.) Kama hao wawekezaji wakija na kufanya shughuli zao bila kuajiri raia wetu wala kulipa kodi serikalini, basi lengo zima la luwaita linakuwa limeingia dosari kubwa sana na wala hakuna hata haja ya kuwaleta. Swali analouliza Lunyungu linahusu hawa jamaa kufika hapa na kuajiri watu wa nje, walioletwa "kutoka India na Pakistani" jana.
 
Ni ukosefu wa nadharia kusema eti kumejaa wahindi kusema hivyo ni kupinga kauli na maelekezo ya serekali tuliyoiweka kwakura nyingi chini ya chaguo la mungu Mtakatifu Rais wa Tanzania amekuwa akipita kila nchi kutangazia taifa letu na kuwashauri wawekaji kufika hapa nchini kuwekeza hawa jaama wameitikia wito wa mheshimiwa Rais wamefika na kulisaidia taifa baada ya wito wake sasa nyinyi mnakuja na vigezo eti muhindi nchi itaenda vipi bila ya wawekezaji ??wacheni mambo ya fitina kama hampendi kinachofanywa na serekali iliyoteuliwa kwa asilimia karibu 98na wapenzi wananchi wake ni afadhali mkatafuta mahali mkaelemea tuwachieni Rais wetu na viongozi wake waboreteshe nchi kutupatia wananchi hali bora ya kimaisha na serekali yetu kwa tarifa yenu serekali hii itakuwepo hapa ulimwengumpaka pale utamalizika kwa hiyo basi mkitaka msitake la muhimu hapa unganeni na serekali tusonge mbele chaguo la mungu hakuna wakulipinga isipokuwa yeye mwenyewe Mmungu



Spear pole sana na you have gone emotional na upenzi wako ama uanachama wako kwa CCM na wala huna upenzi wala uanachama kwa Taifa langu Tanzania ambazo wewe na wenzako mnazidi kulimaliza na maneno et ya wawekezaji .Ninakushauri wewe na wenzako wote kabla ya kuanza kulia lia hapa mkaa mtulie msome mada inasemaje .Yes mimi napinga hili hata kama Serikali iko madarakani kwa 100% .Mbona sijakuona uje hapa uanze kuuliza serikali yako juu ya madudu ya EPA ? Ununuzi wa magari 700?Mauaji ya Albino ? Mgogoro wa Tarime hata sasa ? Mambo kibao yako na serikali yako ya asilimia 98 iko vipi sasa .Kaa chini soma tulia wacha kulia lia na jibu hoja .

Kwa wenzako wote akina Majita na kundi lake wanaodhani niko ama nilikuwa naenda minazi mirefu wakaacha kuchangia hoja wakaja na kejeli mie nasema this below JF standards.Kila siku acha trivials na ukate issue kama mtu mwene broad mind .Unapoteza nafasi bure hapa kwa kupinga kitu ambacho you cannot proof .Ukibisha zaidi nitaweka hapa simu upige na uongee nami then uje uombe msamaha mbele ya wana jamvi.

Mkubwa Mtazania hata kama naenda Kenya napita hapo lakini sasa sikuwa naenda Kenya a again ni bora basi tukawa serious na issue hasa na kuacha mambo ambayo yana divert issue kujadiliwa kila siku nawa eleza.

Leo mnawapigia kelele wapinzani wafanye hivi na vile wakati mnaficha hata majina yenu kwenye forum lakini kuchonga sana sana .

Again nauliza usalama wa Nchi yangu kwa wahindi kuja kirahisi na kukaa pale na hata lufha yetu hawaijui uko wapi ? Uhamiaji taratibu zinafuatwa ? Ni kweli kwamba hakuna Watanzania wanaweza ku invest maeneo haya ? Hebu tuangalia airport zingine nazo zimejaa wawekezaji ? Munich, Amsterdam , Zurich, JFK, Nairobi, SA, Heathrow,Gatwick na zingine nyingine ambazo mnapita zimejaa wawekezaji bila kujali swala muhimu la Nchi usalama wake na hata wenye Nchi wenyewe kuendesha kazi hizo ? Uwekezaji mbona sijawaona wanakuja kwenye Kilimo ?Mifugo ? uvuvi wa samaki ?Huduma za hospitali ama wao huko Rais hawa ambii kwamba tuna matatizo makubwa ?
 
Work Permit ni azima ipatikane kabla mtu ambaye sio raia hajaweza kufanya kazi nchini kwetu. Sheria lazima itaje kazi ambazo zinaweza kuombewa work permit. Kazi za utaalamu mdogo (eg kuuza dukani) ZOTE ni marufuku kufanywa na mgeni.

Kama serikali haisimamii utekelezaji wa sheria vizuri, basi tatizo ni huu mserikali wa CCM

Nadhani kuna kitu kinaitwa citizen arrest. Ukiona mtu anavunja sheria una haki ya kufanya hiyo citizen arrest. Lunyungu, kwanini hukukamata mtu? Au ulikuwa na haraka sana?
 
Mwambata wa Jeshi Ubalozini China wakati huo, alikupoulizwa kwa nini mmemwajiri Mfilipino kwenye ofisi ya Ubalozi wakati kuna watanzania wengi tu wanatafuta kazi, jibu lake lilikua 'watanzania watatoa siri?'.
Nandhani ni wazo lililopo kwa viongozi wengi wa Tanzania ambapo wao wanakua mstari wa mbele kwa ufisadi wakitumia wageni.
 
Mwambata wa Jeshi Ubalozini China wakati huo, alikupoulizwa kwa nini mmemwajiri Mfilipino kwenye ofisi ya Ubalozi wakati kuna watanzania wengi tu wanatafuta kazi, jibu lake lilikua 'watanzania watatoa siri?'.
Nandhani ni wazo lililopo kwa viongozi wengi wa Tanzania ambapo wao wanakua mstari wa mbele kwa ufisadi wakitumia wageni.

And the question begs, ni siri gani hizo ambazo anaamini Mfilipino atawafichia? Seriously we are our own worst enemies, kuanzia rais anayehalalisha mwekezaji kuleta mpishi kutoka India na wizara ya uhamiaji ambayo inatoa kiholela tu work permits hata kwa wale wasiostahili kuwa na hizo work permits. Inanikumbusha maneno ya hayati Nyerere katika siku za mwisho za uhai wake aliposema kuwa Watanzania siku moja tunaweza kujikuta tumekuwa kama Watindiga, au Red indians wa Marekani bila kuwekwa kwenye kambi za reservations. Yaani nchi tunayo lakini si yetu tena.
 
And the question begs, ni siri gani hizo ambazo anaamini Mfilipino atawafichia? Seriously we are our own worst enemies, kuanzia rais anayehalalisha mwekezaji kuleta mpishi kutoka India na wizara ya uhamiaji ambayo inatoa kiholela tu work permits hata kwa wale wasiostahili kuwa na hizo work permits. Inanikumbusha maneno ya hayati Nyerere katika siku za mwisho za uhai wake aliposema kuwa Watanzania siku moja tunaweza kujikuta tumekuwa kama Watindiga, au Red indians wa Marekani bila kuwekwa kwenye kambi za reservations. Yaani nchi tunayo lakini si yetu tena.

Ndiyo maana nikashikwa sana uoga majuzi nikiwa pale airport .Kwa hiyo kama wanaogopa siri zao kujulikana , je Mhindi yule pale uwanjani hatuogopi siri yetu sote kujulikana ama inakuwaje ?Kama wenye maduka ni watanzania , maduka yako Tanzania na kuna vijana wengi wasomi mno wa kitanzania hawana kazi Tanzania je kuna uhalali upi wa mtanzania kukaa bench akiwa Tanzania na mhindi kuja kufanya kazi ile ?
 
Hapo hapo DIA it was october plane yetu ilidelay for 3 hrs,tulikaa mle ndani joto mtindo mmoja ukiwauliza AC mbovu ikabidi tutumie magazeti.Mbaya zaidi ata TV ilikuwa haifanyi kazi tena kulikuwa na game that day walinikera.
 
Mkuu ungaliweza kuchangia bila kijembe ambacho tuna uhakika huwezi kukitetea juu ya safari ya jamaa.Lakini kubwa ni kwamba pamoja na wahindi kujazana na hawapewi siku 7 Lunyungu hata mimi nashitushwa na jambo la Usalama wa Nchi airport yetu japokuwa wengi hawana permits na inasemekana maduka yale ni ya mafisadi in conjuction na wahindi .Ushahidi ni mawaziri wa JK , MKapa na wengineo hapo muda ukifika tutayataja majina hapa .
KAzi bado ipo, wanaowapitisha ni akina sisii. Nakumbuka enzi za mzee ruksa, aliye kuwa waziri mkuu JSW aliwaita baadha ya matajiri wa kih..... akawaauliza iweje wao wanapata mikopo wakati waswahili haapati???? JIBU alilotoa mmoja wao mdosi " ...mheshimiwa kule NBC (wakati huo) wizara ya fedha, NIC mbona hakuna mdosi anafanya huko??? hayo yapo lakini yanawezeshwa na hao hao walioko huko....." mheshimiwa akafikiri akafunga kikao, akajisemea kikulacho ki nguoni mwako.... tuwatafute hao watulao.
 
Ni ukosefu wa nadharia kusema eti kumejaa wahindi kusema hivyo ni kupinga kauli na maelekezo ya serekali tuliyoiweka kwakura nyingi chini ya chaguo la mungu Mtakatifu Rais wa Tanzania amekuwa akipita kila nchi kutangazia taifa letu na kuwashauri wawekaji kufika hapa nchini kuwekeza hawa jaama wameitikia wito wa mheshimiwa Rais wamefika na kulisaidia taifa baada ya wito wake sasa nyinyi mnakuja na vigezo eti muhindi nchi itaenda vipi bila ya wawekezaji ??wacheni mambo ya fitina kama hampendi kinachofanywa na serekali iliyoteuliwa kwa asilimia karibu 98na wapenzi wananchi wake ni afadhali mkatafuta mahali mkaelemea tuwachieni Rais wetu na viongozi wake waboreteshe nchi kutupatia wananchi hali bora ya kimaisha na serekali yetu kwa tarifa yenu serekali hii itakuwepo hapa ulimwengumpaka pale utamalizika kwa hiyo basi mkitaka msitake la muhimu hapa unganeni na serekali tusonge mbele chaguo la mungu hakuna wakulipinga isipokuwa yeye mwenyewe Mmungu
Kama ilivyosemwa na baadhi hapa labda hatuko "serious" hapa kujadili na kuongezeana ufahamu na ndio maana tunaacha kujadili tunaleta maneno kama haya, huu sio wivu, sio ubaguzi na si chuki bali ni swali halisi, kila nchi inasheria yake na ina mahsarti yake. Kuuza duka si lazima awe mdosi. Lakini pia huyu akipewa mshahara atapeleka kwao (wapi???) mimi nitapeleka kwetu Maruku au Masukulu au Kiponzelo kwa mama au baba au shangazi apate kununua maziwa kwa mzee songambele. Huyo mdosi atapeleka kwao, senti aliyovuna hapa hairudi hata kidogo. Bwana wee maduka na wauzaji tunao sio hao wadosi. Na wakisha kaa siku 14 tayari maneno machafu na dharau ndio zao, wengine hatujali lakini ile kufanya hivyo tu haikupi uhakika wa usalama. Hawa hawana cha kupoteza hapa, mambo yakiharibika hao kwao, sio ambao ni breed, born, grew, educated here..here inakuwaje?? tunabaki hapa. Ni vizuri kustuana ili kama kipo cha kufanya aliye na nafasi ya kufanya afanye.
 
Kama ilivyosemwa na baadhi hapa labda hatuko "serious" hapa kujadili na kuongezeana ufahamu na ndio maana tunaacha kujadili tunaleta maneno kama haya, huu sio wivu, sio ubaguzi na si chuki bali ni swali halisi, kila nchi inasheria yake na ina mahsarti yake. Kuuza duka si lazima awe mdosi. Lakini pia huyu akipewa mshahara atapeleka kwao (wapi???) mimi nitapeleka kwetu Maruku au Masukulu au Kiponzelo kwa mama au baba au shangazi apate kununua maziwa kwa mzee songambele. Huyo mdosi atapeleka kwao, senti aliyovuna hapa hairudi hata kidogo. Bwana wee maduka na wauzaji tunao sio hao wadosi. Na wakisha kaa siku 14 tayari maneno machafu na dharau ndio zao, wengine hatujali lakini ile kufanya hivyo tu haikupi uhakika wa usalama. Hawa hawana cha kupoteza hapa, mambo yakiharibika hao kwao, sio ambao ni breed, born, grew, educated here..here inakuwaje?? tunabaki hapa. Ni vizuri kustuana ili kama kipo cha kufanya aliye na nafasi ya kufanya afanye.


Moderata umesema maneno hadi machozi yamenitoka .Juzi wakati napita pale kiwanjani nikaleta habari hii nikashambuliwa na maneno mengi ya kejeli .Watu wakaamua kuacha hoja wakaanza vioja .Mara mie niko Minazi mirefu ila ujumbe umefika .Jamani ama ndiyo mwendelezo wa kupanga kila hapa JF mkitakiwa kuja kufanya utasikia watu wanasema wapinzani hawafani hivi wala vile .Wapinzani si watu wa Tanzania kama wewe ambaye unasemea hapa ?

Tanzania yetu na usalama wa Nchi na hasa uwanja ule .Hata hakuna sheria inayo wabana wajifunze kiswahili kwa mawasiliano na wasio kujua kiingereza hakuna .Bado nauliza watu wa usalama na Uhamiaji .Usalama wa Nchi yangu ukoje ?
 
...hizi ni chuki na ubaguzi tuu dhidi ya wahindi,hayo maduka utafikiri wamemwibia mtu kumbe wameyafanyia kazi wenyewe,hakuna mweusi amekatazwa kufungua hayo maduka sijui tunalalamika nini? hayo maduka kuna waswahili kibao wanamiliki na kiingereza ni lugha ambayo mtu yeyote reasonable angetegemea itumike kwenye maduka kama hayo wanayotumia wasafiri wa kimataifa,kuwafanya wahindi waonekane wabaya haimsaidii mtu yeyote na wala haitasaidia kuondoa umaskini wetu!
 
...hizi ni chuki na ubaguzi tuu dhidi ya wahindi,hayo maduka utafikiri wamemwibia mtu kumbe wameyafanyia kazi wenyewe,hakuna mweusi amekatazwa kufungua hayo maduka sijui tunalalamika nini? hayo maduka kuna waswahili kibao wanamiliki na kiingereza ni lugha ambayo mtu yeyote reasonable angetegemea itumike kwenye maduka kama hayo wanayotumia wasafiri wa kimataifa,kuwafanya wahindi waonekane wabaya haimsaidii mtu yeyote na wala haitasaidia kuondoa umaskini wetu!

Vipi Koba kuna mahali umeguswa vibaya ama ? Maana naona sasa si mawazo tena ni matisho babangu .
 
Back
Top Bottom