Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Nimeingia hapa uwanja wa ndege wa JKN naelekeo Moscow kwa kazi yangu lakini maalumu , nikaamua kutembelea maduka haya ya duty free .Nimeshangaa kila mhindi namgusa ni msemaji ama wa kihindi na kiingereza .Kuna kadada humo ndani nakuuliza kulikoni hapa na vipi usalama wa uwanja wetu na pia vipi Visa zao ? Anasema hawa wana siku chache tangia watoke India na Pakistani na wanaingia kinyemela na asubuhi wanaibukia hapa ndani kuuza kwenye duty free shops.
Jamani nauliza tena kwa sauti mnisaidie vipi Usalama wa Nchi ? Usalama wa uwanja ? Vipi hakuna Wadanganyika wanaweza kuuza maduka yale ? Nime enda kwenye coffee shop pale nimekuta maajabu jamaa wanasema kuna uchafu zaidi na wanaomba nirudi wakati mwingine nipate nyeti.Kwa sasa nawasilisha mniombee nangoja kuchukua mchuma punde tu .
Jamani nauliza tena kwa sauti mnisaidie vipi Usalama wa Nchi ? Usalama wa uwanja ? Vipi hakuna Wadanganyika wanaweza kuuza maduka yale ? Nime enda kwenye coffee shop pale nimekuta maajabu jamaa wanasema kuna uchafu zaidi na wanaomba nirudi wakati mwingine nipate nyeti.Kwa sasa nawasilisha mniombee nangoja kuchukua mchuma punde tu .