funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Halafu hajajibu yote kayakimbiamjumbe wa maswali tokea NEC
Everyday is Saturday...........................
Halafu hajajibu yote kayakimbiamjumbe wa maswali tokea NEC
Everyday is Saturday...........................
Shusha ushahidi sio unachafua tu brand za watuNimekudharau hapo uliposema umesoma Masters Mzumbe!
Masters za Mzumbe ni za kununua tu. Ushahidi ninao. Ukibisha naushusha hapa.
Ni bora hata aliyesoma VETA au Amazon Catering College kuliko MBA za Mzumbe.
Nasubiri akujibu!Halafu hajajibu yote kayakimbia
Duuuu! Hii kubwa kulikoWaluguru hawapendani wao kwa wao, na hawapendi mtu masikini afanikiwe, yaani wewe kama kapuku sahau kupata kura.
Kasema anakuja na maono mapya, yanatosha....siyo suala la hela!Umeandaa mamilioni tayar?
tuko wengi humu kumbe.....Mzee wa dezet wewe
Mkuu wana siasa karibu wote ni waongo wanatoa ahadi nyingi kwa wananchi wakisha pewa kura huwaoni tena hata majimboni kwao hawaendi kuwatembeleana kujuwa Shida za Wananchi walio wapa kura zao. Wanasema maneno matamu ya uongo Wana Siasa lakini vitendo vyao ni ovyo tu. Mimi Hakuna hata Mwana Siasa mmoja ninaye muamini.Umetoa ahadi ambazo haziwezi kutekelezeka, labda useme tu ukweli kuwa unataka kupiga hela kama mwenzio Abood na Kibajaji.
Mkuu Bvora Tukuchague uwe Rais waJamii forums maana hatuna Rais hmu Jamii forums. Humu hakuna Sera ili mradi ujuwe kuzngumza vizuri usitukane watu tutakuchaguwa humu uwe Rais wetu unasemaje?Hata mimi natangaza nia yangu ya kugombea urais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia ama ACT au CHADEMA, yaani chama chochote kitakachonikubali bila hata kujali sera zake.
Nikishinda hata sijui nitafanya nini kwa sababu sina sera yoyote ila tu nachukizwa na serikali iliyopo madarakani. Sana sana nitapiga trip za nje nyingi kutafuta wafadhili kusudi watu wale bata.
Nimekuelewa Mzee wa dezeti,namjua vizuri Abood na hila zake ndio maana nimemuingia,Wanaposema hivyo hawamaanishi kupingana nawe ila wanakujulisha ukubwa wa ukuta uliopo mbele yako kutokana na Abood ameshika daily life ya wana moro....ambao out of ignorance huwezi kuwaambia vinginevyo.
Binafsi nakuelewa mwana Kizito mwenzangu ila layman wa morogoro hatokuelewa...
Mipango yako ya viwanda iko way juu ya kidogo wanachopata wananchi kutoka kwa Abood.
Tazama pia uwezo wake wa kutoa rushwa..
Mizizi yake ndani ya chama na serikali..
Abood ana tabia ya kuua pia ( sikutishi ila be careful).
Kwano ili digrii isiwe ya kuunga lazima awe amesomea UDPesa Huna na digrii za kuunga. Hoja Huna.
Wokeee... mabasi ya misiba ndio jambo muhimu kwa wana Moro sio?Siyo umeanza kampeni asubuhi mkuu. Jimbo lipo, walugulu wapo, ingawa mazingira yake ni magumu, sijui utawaambia kitu gani kuhusu yale mabasi ya misiba.
Shukrani sana kiongozi, hakuna mwarabu wala muhindi atakae iletea Maendeleo Morogoro, Sisi wazawa wa Morogoro, watoto wa Morogoro ndio tutailetea Maendeleo Morogoro Mjini.Mzee pambana naona unafuata nyayo za mshua.
Sisi wanakihonda wote tutakupa kura za ndiyo.
Bigwa,Kg,kilei,forest, chamwino, modeko, mafisa, 88, msamvu hadi 77 tutaungana kupata ushindi..
Angalizo;Shukrani sana kiongozi,hakuna mwarabu wala muhindi atakae iletea Maendeleo Morogoro,Sisi wazawa wa Morogoro,watoto wa Morogoro ndio tutailetea Maendeleo Morogoro Mjini.