Walau amethubutu, is it sustainable?
Kagasheki afanye zaidi yahapo tumumini zaidi.
a) Tukamatie waliobeba twiga wetu. Lakini hasa mapapa ilitujue ilikuwaje ndege ya jeshi la inchi nyingine ingie na kubeba wanyama wetu kama vile inteligensia ya Mkuu wako haipo au ipo kuvidhibiti vyama vya upinzani tuu??
b) Na hao walio uwa Faru wetu sheria ichukuwe mkondo bila mizwengwe na kwa kipindi kifupi waende kifungon.
Tunashindwa kuwaamini viongozi wetu, siku zote mnafanya mambo ya nguvu ya soda na kutuaminsha hewa pasi na utendaji wa haki na kizalendo.
Kagasheki afanye zaidi yahapo tumumini zaidi.
a) Tukamatie waliobeba twiga wetu. Lakini hasa mapapa ilitujue ilikuwaje ndege ya jeshi la inchi nyingine ingie na kubeba wanyama wetu kama vile inteligensia ya Mkuu wako haipo au ipo kuvidhibiti vyama vya upinzani tuu??
b) Na hao walio uwa Faru wetu sheria ichukuwe mkondo bila mizwengwe na kwa kipindi kifupi waende kifungon.
Tunashindwa kuwaamini viongozi wetu, siku zote mnafanya mambo ya nguvu ya soda na kutuaminsha hewa pasi na utendaji wa haki na kizalendo.