Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,989
- 2,954
Haya! Mwenzenu nina tatizo la kutotazamana na mtu ninayeongea naye uso kwa uso, hata angekuwa tofauti ya jinsia yangu.
Huwa tukiongea na mtu, au natazama pembeni au nakuwa kama nainama ili mradi tu tusigongane macho yetu. Lakini akitazama yeye pembeni ndiyo huwa namuangalia usoni na machoni.
Je, hii imewahi kuwatokea baadhi yenu? Sababu yake ni nini, maana kuna watu ukiwaona wanaongea wanatazamana usini muda wote wa maongezi yao, lakini siyo mimi.
Nawasilisha hoja.
Huwa tukiongea na mtu, au natazama pembeni au nakuwa kama nainama ili mradi tu tusigongane macho yetu. Lakini akitazama yeye pembeni ndiyo huwa namuangalia usoni na machoni.
Je, hii imewahi kuwatokea baadhi yenu? Sababu yake ni nini, maana kuna watu ukiwaona wanaongea wanatazamana usini muda wote wa maongezi yao, lakini siyo mimi.
Nawasilisha hoja.