mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,313
ajabu ni nini kama ni msemaji wa mwisho!!!!Kupenda kutumia SANA au kila mara au mara nyingi
hata wewe ndani ya nyumba yako lazima utumie MIMI mara kwa mara.
ajabu ni nini kama ni msemaji wa mwisho!!!!Kupenda kutumia SANA au kila mara au mara nyingi
HahahhahahahUnajua bwana mimi.....
Mimi watu wananiogopa sana.....
Wewe mimi ni hatari sana.....
Mimi hapa watu wote wananifahamu....
Yaani tukiwa tunapiga tu story ukaanza kutumia hizo kauli, yaani hata sikusikilizi tena nabaki nakuitikia tu mh, mh
ajabu ni nini kama ni msemaji wa mwisho!!!!
hata wewe ndani ya nyumba yako lazima utumie MIMI mara kwa mara.
ndio maana hatuwapi wahuni nchi,kwa kuifananisha na vikundi vyao vya porojo.Huwezi kulinganisha taifa na familia.
ndio maana hatuwapi wahuni nchi,kwa kuifananisha na vikundi vyao vya porojo.
kwani wewe huwezi kumpa mtu nchi!!!!Wewe ni kapuku tu uliyeaminishwa ni sehemu ya watu wanaowapa watu wengine nchi.
Shukran kwa ufafanuzi mzuri.100% iyo ni sifa ya kwanza ya mtu Narcissist .
Yaaan bila Mimi kuwasaidia wasingepita pale.
Daah yaan Bila Mimi mambo yangewagomea.
Mimi nilijua tu aisee ndomaana nkampa
Mimi nmekusaidia wee unadhan ungekua hapa ??
Hawa watu , shida yao ni moja, wanaweza kukufanya ujihisi mtu lkn wepesi wa hasira na ukimfanyia jambo lakuudhi, Aisee atakulipizia kitu ambacho ukiwa mwepesi kitakua kinakupa majonzi miaka yote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini mkuu?Umeangalia upande mmoja.
Kwa mfano watu wakiwa wamefanya jambo fulani kwa kushirikiana pamoja, kisha wakalifanikisha.Kwa nini mkuu?
Neno mimi lina umimi (ubinafsi) ndani yake.
Ndugu zake ni maneno yangu, changu na wangu.
Serikali yangu
Mungu wangu
Rais wangu
Nchi yangu
Nadhani maneno mazuri ni sisi, yetu, chetu na zetu ni maneno mazuri zaidi yenye kuonyesha mashirikiano na masikilizano.
Hapa tunaangalia matumizi mabaya ya mimi na si matumizi mabaya ya sisi.Haya maneno yanalea uzembe,upumbavu,ujinga na kutokuwajibika.
Lazima tujue maendeleo hayawezi kuja kwa kutegemea sisi,yetu,wetu ama vyetu.Hizi ni kauli mbiu za wajamaa ambao wamefeli.Kinadharia ni nzuri mno ila kiuhalisia ni aina fulani ya ku fake ili kubalance hisia za wajinga.
Mimi,yangu,changu,ni maneno yanayochochea ari ya ushindani.Kwa mtu anayetamani naye awe na kauli kama hizi,atatakiwa kuchagua kati ya kupambana amzidi mwenzie,ama achukie mafanikio yaliyompa mtu kusema "mimi"
Watanzania acheni kufanya uzembe mtu mmoja ahangaike kufikiri,kujinyima,na kujituma kisha kwenye mafanikio aseme sisi,yetu,chetu au vyetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
rais,bunge,mahakamaMimi na SERIKALI YANGU. Serikali ni nini!?
Basi anamaanisha yeye bunge na mahakama. Tayari kuna sisi ndani yake.rais,bunge,mahakama