Natafuta kazi ya Uchomeleaji Welding fabrication nina uzoefu wa miaka 10 napendelea kwenye makampuni nina elimu ya darasa la saba na Cheri cha veta grade Two
Nipo Ifakara mjini yaani kazi hakuna zipo chache sana, vifaa vyote unavyosema ninavyo nipe kazi naweza nikavipakia kuja navyo kufanya hiyo kazi itabidi nipate mawasiliano yako ndugu yanguUko wapi ndugu? Je una vitendea kazi? Eg welding machine,angle(hand)Grinder,drill machine nk? If yes,na kama upo within my reach basi nicheki fasta nikupe kazi!! Serious!!
Nasubiri Captain Tamar nipige kaziNipo Ifakara mjini yaani kazi hakuna zipo chache sana, vifaa vyote unavyosema ninavyo nipe kazi naweza nikavipakia kuja navyo kufanya hiyo kazi itabidi nipate mawasiliano yako ndugu yangu
mtumie semeji inbox yake mtaelewana vizuri hukoNasubiri Captain Tamar nipige kazi
Vifaa vyote vya kazi ya uchomeleaji ninavyo site nilipo hapa ni pagumu basi kama kuna sehemu naweza pata kazi nyingi au tenda za kazi naweza kujaNatafuta kazi ya Uchomeleaji Welding fabrication nina uzoefu wa miaka 10 napendelea kwenye makampuni nina elimu ya darasa la saba na Cheri cha veta grade Two
Mbona kimyaUko wapi ndugu? Je una vitendea kazi? Eg welding machine,angle(hand)Grinder,drill machine nk? If yes,na kama upo within my reach basi nicheki fasta nikupe kazi!! Serious!!