Mimi binafsi naanza kumuelewa RC Mkonda juu ya swala la kuvamia Studio ya Clouds Media!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,600
Naomba niseme ukweli kuhusu swala la RC Makonda kuvamia Studio za Clouds Media Group naanza kumuelewa na nomeona kuna kitu nyuma ya pazia!
Kuhusu swala vyeti hilo lina sehemu yake kwani siyo sehemu ya kitu kilicho sababisha yeye kususiwa na vyombo vya Habari! Nahisi hiki kitu kinahitaji uchunguzi mkubwa sana...ila tukimshambulia kuhusu vyeti naona hiyo nikatika upambanaji katika maisha.
Hila swala la uvamizi namuelewa tumsikilize na tumpe muda wa kumsikiliza ana hoja.

 
Naomba niseme ukweli kuhusu swala la RC Makonda kuvamia Studio za Clouds Media Group naanza kumuelewa na nomeona kuna kitu nyuma ya pazia!
Kuhusu swala vyeti hilo lina sehemu yake kwani siyo sehemu ya kitu kilicho sababisha yeye kususiwa na vyombo vya Habari! Nahisi hiki kitu kinahitaji uchunguzi mkubwa sana...ila tukimshambulia kuhusu vyeti naona hiyo nikatika upambanaji katika maisha.
Hila swala la uvamizi namuelewa tumsikilize na tumpe muda wa kumsikiliza ana hoja.


Mkuu naona unataka tuichangie account yako YouTube
 
Hicho kitu unachokiona nyuma yake ndio ututajie sasa!

Vinginevyo na wewe ni Bashitelism.
Unakumbuka kipindi kile makonda alikuwa anaitumia sana clouds na media nyingine kulalamika?
Jiulize urafiki wa clouds na media nyingine umeanza lini?
Ni kweli media zote zipo pamoja na clouds au walikuwa na bifu lao na makonda;?
Ilikuwaje efm wakawa na urafiki na clouds au kwa sababu majey alitajwa kwenye orodha za madawa ya kulevya?
 
Naomba niseme ukweli kuhusu swala la RC Makonda kuvamia Studio za Clouds Media Group naanza kumuelewa na nomeona kuna kitu nyuma ya pazia!
Kuhusu swala vyeti hilo lina sehemu yake kwani siyo sehemu ya kitu kilicho sababisha yeye kususiwa na vyombo vya Habari! Nahisi hiki kitu kinahitaji uchunguzi mkubwa sana...ila tukimshambulia kuhusu vyeti naona hiyo nikatika upambanaji katika maisha.
Hila swala la uvamizi namuelewa tumsikilize na tumpe muda wa kumsikiliza ana hoja.


Una akili sana, bonge la thread. Unatumia ubongo wa mbuni kufikiri nini mkuu?
 
kwa maelezo yake aliyoyasema jana ni kweli kuna kitu hakipo sawa,

kwann ile clip imetolewa kipande kile tu???
kwann hakuna vipande vingine vinavyoonesha akiwa piga wale waandishi???
kwenye ile clip ni wapi pameonesha amevamia???
kama alizoea kwenda pale na wale askari/walinzi wake kwann siku ile ionekane amevamia???
kwann baada tu ya zile habari kuvuja ghafla waliokua maadui wakaungana na kua kitu kimoja???
Mtu alikua rafiki yako mpaka dakika ya mwisho kwann baada ya kutokea tukio kama lile (la uvamizi) wasikae chini na kuongea au kufikisha katika vyombo vya dola matokeo yake habari zinasambazwa mtandaoni???
kwann walikua hawapokei simu zake???

Maswali ni mengi sana,
lakini mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
 
Ukimsikikiza makinda kwa makini kama ni mwongi ni rahisi sana kumuumbua.lakini jana hata kama kuna mambo hakuyasema ya ukweli mengi yana ukweli ndani yake na kama angepewa mda wa kumwaga mboga vya kutosha angeyanena mengi zaidi kuna kitu nyuma ya pazia kipo.

Ukimsikiliza kwa makini na undani bila chuki na fitina ya kumchukia.

Nakama tungekuwa na waandishi wa habari makini wangekuw washatupa ufafanuzi.

Maana jana kaeleza matukio yenye mtiririko wa wahusik ambao wanafikika na wanatambulika ni vizuri wazungukiwe wao wakailizw je ni kweli..

Hapa ingefaaa la vyeti na bashite liwekwe pembeni libakie la kuvamia clauds hakika kuna mengi yamefichwa na katengenezewa hapa.
 
Unakumbuka kipindi kile makonda alikuwa anaitumia sana clouds na media nyingine kulalamika?
Jiulize urafiki wa clouds na media nyingine umeanza lini?
Ni kweli media zote zipo pamoja na clouds au walikuwa na bifu lao na makonda;?
Ilikuwaje efm wakawa na urafiki na clouds au kwa sababu majey alitajwa kwenye orodha za madawa ya kulevya?
Haya ni mawazo ya kitaahira sana, unauliza efm walianzaje kua na urafiki na clouds, labda utwambie efm na clouds walikua na ugomvi gani kabla?
 
kwa maelezo yake aliyoyasema jana ni kweli kuna kitu hakipo sawa,

kwann ile clip imetolewa kipande kile tu???
kwann hakuna vipande vingine vinavyoonesha akiwa piga wale waandishi???
kwenye ile clip ni wapi pameonesha amevamia???
kama alizoea kwenda pale na wale askari/walinzi wake kwann siku ile ionekane amevamia???
kwann baada tu ya zile habari kuvuja ghafla waliokua maadui wakaungana na kua kitu kimoja???
Mtu alikua rafiki yako mpaka dakika ya mwisho kwann baada ya kutokea tukio kama lile (la uvamizi) wasikae chini na kuongea au kufikisha katika vyombo vya dola matokeo yake habari zinasambazwa mtandaoni???
kwann walikua hawapokei simu zake???

Maswali ni mengi sana,
lakini mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Kina nani hao aalikua maadui wakaungana mara moja? Unaweza kutusaidia kisa na chanzo cha uadui wao?

Hakuna maswali hapo watu mnajitoa ufahamu na kujipa utaahira tu kwa kuendeshwa kwa hisia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom