Mimea yangu ya siku 45 inanyauka, nifanye nini kuinusuru?

Mimea ya mazao gani? Unalimia wapi?

Miti, maua, mboga, nafaka?? Funguka..
Angalia maji kama ni chumvi pole, utajua hilo kama udongo unatengeneza kitu cheupe juu.

Everyday is Saturday...........................:cool:
Hii nimeiona mkuu
IMG_20201003_174154.jpg
 
Pole sana mkuu, wakulima huwa hatulimi kilimo cha kiangazi wenye udongo aina hiyo, hiyo magadi au chumvi, na treatment yake ni mbolea za asili, samadi kwa wiingi na maji yasiyo na chumvi kwa wingi. Udongo usikauke!

Mimea itaota lakini inafikia mahali inakufa au haizai! Hapo tegemea mvua ije iokoe jahazi.

Siyo kila udongo unafaa kilimo cha kiangazi

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Tikiti halilimwi kwenye udongo mfinyanzi, huo udongo unanata, tikiti linataka tifutifu ya kichanga.

Pole, nikushauri uachane na kuendelea kutumia gharama, wenyeji ni wahuni watakupa swagga mwaka juzi mtu alivuna tikiti milioni 6, ili wao waendelee kula hela yako zinduka. Unawahudumia wao kijanja wewe hupati kitu!

Hilo shamba wamekuingiza chaka!

Everyday is Saturday.............................. :cool:
 
Pole sana mkuu, wakulima huwa hatulimi kilimo cha kiangazi wenye udongo aina hiyo, hiyo magadi au chumvi, na treatment yake ni mbolea za asili, samadi kwa wiingi na maji yasiyo na chumvi kwa wingi. Udongo usikauke!

Mimea itaota lakini inafikia mahali inakufa au haizai! Hapo tegemea mvua ije iokoe jahazi.

Siyo kila udongo unafaa kilimo cha kiangazi

Everyday is Saturday............................... :cool:
Duuh nakubali mkuu nimepata somo.
 
Tikiti halilimwi kwenye udongo mfinyanzi, huo udongo unanata, tikiti linataka tifutifu ya kichanga.

Pole, nikushauri uachane na kuendelea kutumia gharama, wenyeji ni wahuni watakupa swagga mwaka juzi mtu alivuna tikiti milioni 6, ili wao waendelee kula hela yako zinduka. Unawahudumia wao kijanja wewe hupati kitu!

Hilo shamba wamekuingiza chaka!

Everyday is Saturday.............................. :cool:
Hii nimeambiwa sana mkuu
 
Aphids hao

Tafuta dawa inaitwa Actara

Kuna wadudu chini ya jani japo umepiga picha juu ya jani
Kwa mtazamo binafsi, tikiti kishachelewa 45+days, hata akipiga dawa gani, lifespan inaelekea ukingoni..

Ajifunze hii iwe somo au aanze upya.

Everyday is Saturday............................. :cool:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom