Pole sana mkuu, wakulima huwa hatulimi kilimo cha kiangazi wenye udongo aina hiyo, hiyo magadi au chumvi, na treatment yake ni mbolea za asili, samadi kwa wiingi na maji yasiyo na chumvi kwa wingi. Udongo usikauke!Hii nimeiona mkuuView attachment 1592503
Nitrabor ni booster tu hairekebishi soil PH.Iringa ruaha mbuyuni natumia nitrabor mkuu
Tikiti halilimwi kwenye udongo mfinyanzi, huo udongo unanata, tikiti linataka tifutifu ya kichanga.Tikiti mkuuView attachment 1587678
Duuh nakubali mkuu nimepata somo.Pole sana mkuu, wakulima huwa hatulimi kilimo cha kiangazi wenye udongo aina hiyo, hiyo magadi au chumvi, na treatment yake ni mbolea za asili, samadi kwa wiingi na maji yasiyo na chumvi kwa wingi. Udongo usikauke!
Mimea itaota lakini inafikia mahali inakufa au haizai! Hapo tegemea mvua ije iokoe jahazi.
Siyo kila udongo unafaa kilimo cha kiangazi
Everyday is Saturday...............................
Hii nimeambiwa sana mkuuTikiti halilimwi kwenye udongo mfinyanzi, huo udongo unanata, tikiti linataka tifutifu ya kichanga.
Pole, nikushauri uachane na kuendelea kutumia gharama, wenyeji ni wahuni watakupa swagga mwaka juzi mtu alivuna tikiti milioni 6, ili wao waendelee kula hela yako zinduka. Unawahudumia wao kijanja wewe hupati kitu!
Hilo shamba wamekuingiza chaka!
Everyday is Saturday..............................
Kwa mtazamo binafsi, tikiti kishachelewa 45+days, hata akipiga dawa gani, lifespan inaelekea ukingoni..Aphids hao
Tafuta dawa inaitwa Actara
Kuna wadudu chini ya jani japo umepiga picha juu ya jani