RUKUKU BOY
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 1,467
- 1,669
Wakuu Pole na shughuli, me najuaga mimba inachukuaga wiki 40, mpaka mwanamke ajifungue...
Je inawezekana kwa mwanamke mwenye mimba ya wiki 36-37, akajifungua, na mtoto akawa na afya njema.
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Je inawezekana kwa mwanamke mwenye mimba ya wiki 36-37, akajifungua, na mtoto akawa na afya njema.
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app