Atahitaji kufanya kipimo cha speculum na ultrasound kuhakikisha
Inawezekana haijaharibika bado ila ipo katika hatari (Threatened abortion) atapewa dawa za kusaidia kutunza mimba isiharibikr
Inawezekana pia imeanza kuharibika na kuna baadhi ya products zimetoka (Incomplete abortion). Hio haina mjadala, haitaweza kusurvive na itabidi apate matibabu.
Inawezekana pia ujauzito umetunga nje ya kizazi.
Kwa kifupi nenda hospitali. Sisi humu JF hatuwezi kumfanyia hivyo vipimo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.