SUTE
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 268
- 202
Wasalaam,
Mwaka jana mdogo wangu alisadikiwa kumpa ujauzito binti wa jirani ili kupisha mambo mengine tukamwonya na kwa sababu binti yule alikuwa anaendana naye tulimsihi atulie ajifungue ikiwa huyo mtoto ni kweli ni wa bwana mdogo atamwoa,
Hatimaye mwaka huu binti amejifungua, na kwa maelezo ya dogo anasema alikutana naye mara moja tu, tukachukua siku aliyokutana naye mpaka siku ya kujifungua ni sawa na siku 302 yaani wiki 43,, miezi kumi,,,
Kwa mwenye elimu tafadhali atusaidie elimu maana familia ya binti tulishaahidi dogo atamwoa iwapo mtoto ni wake,
Lakini tunashindwa kuelewa mimba ya kwanza miezi kumi,
Shukurani
Mwaka jana mdogo wangu alisadikiwa kumpa ujauzito binti wa jirani ili kupisha mambo mengine tukamwonya na kwa sababu binti yule alikuwa anaendana naye tulimsihi atulie ajifungue ikiwa huyo mtoto ni kweli ni wa bwana mdogo atamwoa,
Hatimaye mwaka huu binti amejifungua, na kwa maelezo ya dogo anasema alikutana naye mara moja tu, tukachukua siku aliyokutana naye mpaka siku ya kujifungua ni sawa na siku 302 yaani wiki 43,, miezi kumi,,,
Kwa mwenye elimu tafadhali atusaidie elimu maana familia ya binti tulishaahidi dogo atamwoa iwapo mtoto ni wake,
Lakini tunashindwa kuelewa mimba ya kwanza miezi kumi,
Shukurani