Mimba na Ujauzito

Ujauzito ni ule Uzito unaokujia... Mimba ni pale mtoto anapoanza kutungwa...
 
Ujauzito ni neno la kitafsida tu ila maana ni moja.

Mfano:
Mavi - Kinyesi
Kuzaa - kujifungua
nk
 
Mimba ni kwa wanyama na ujauzito ni kwa mwanadamu ila asilimia kubwa ya watu wanatumia mimba kwa mwanadamu.
 
nadhani mimba ni pale KE anapogundua kuwa haoni siku zake tena kwahiyo tunaita ana mimba kwa mwanzoni ila ujauzito ni pale tumbo linapokua kubwa tayari kwa mama kujifungua NDIO MAANA HUWEZI KUSIKIA MAMA MWENYE MIMBA BALI MAMA MJAMZITO. Ni mawazo tu wadau.
 
aiseeeeeeeeeee
nadhani mimba ni pale KE anapogundua kuwa haoni siku zake tena kwahiyo tunaita ana mimba kwa mwanzoni ila ujauzito ni pale tumbo linapokua kubwa tayari kwa mama kujifungua NDIO MAANA HUWEZI KUSIKIA MAMA MWENYE MIMBA BALI MAMA MJAMZITO. Ni mawazo tu wadau.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom