Naomba mnijalie tofauti ya haya maneno
Naomba mnijalie tofauti ya haya maneno
nadhani mimba ni pale KE anapogundua kuwa haoni siku zake tena kwahiyo tunaita ana mimba kwa mwanzoni ila ujauzito ni pale tumbo linapokua kubwa tayari kwa mama kujifungua NDIO MAANA HUWEZI KUSIKIA MAMA MWENYE MIMBA BALI MAMA MJAMZITO. Ni mawazo tu wadau.