UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,384
- 980
zoezi LOLOTE AU CHAKULA CHA KUNIFANYA NIPATE UCHUNGU TAREHE ZA MAKADIRIO NI 28DECEMBA 2O13 HADI 4JANUARI 2O14 MSAADA WA KWELI ACHA MATUSI
zoezi LOLOTE AU CHAKULA CHA KUNIFANYA NIPATE UCHUNGU TAREHE ZA MAKADIRIO NI 28DECEMBA 2O13 HADI 4JANUARI 2O14 MSAADA WA KWELI ACHA MATUSI
@uwoga = umaskinizoezi lolote au chakula cha kunifanya nipate uchungu tarehe za makadirio ni 28decemba 2o13 hadi 4januari 2o14 msaada wa kweli acha matusi
nashukuru sana ulikuwa na tatizo gani nawe mwenzanguUsijali sana mda bado ila huwa wanashauri ukizidisha wiki 40 uwe unaenda clinic kila wiki na fanya mazoezi ya kutembea. Mm nilikaa hadi wiki 40 na siku 4 ndio nikajifungua kawaida
aSANTENI WOTE MBARIKIWE
aSANTENI WOTE MBARIKIWE