Kwanini unachomekachomeka kiholela bila kondomu?? Haya kapime UKIMWI, kisonono, pangusa na kaswende!kuna limtu limenitega pumbavu....limenasa, lilinikuta nafua akaja kwa bahati mbaya akaniomba kunisaidia nikakubali bali hadi kupiga deki na mengine huko huko....duuuuuuh!. kawa mke wangu naambiwa mimba na nmeletewa home tena wazee wa kanisa wameniletea. Mm hata sijui habari za clinic...nitakuwa msomaji nami niwe nasikilizia msala wangu home
Hongera mkuu.kuna limtu limenitega pumbavu....limenasa, lilinikuta nafua akaja kwa bahati mbaya akaniomba kunisaidia nikakubali bali hadi kupiga deki na mengine huko huko....duuuuuuh!. kawa mke wangu naambiwa mimba na nmeletewa home tena wazee wa kanisa wameniletea. Mm hata sijui habari za clinic...nitakuwa msomaji nami niwe nasikilizia msala wangu home
Hongera kwa kubeba ujauzito.kuna limtu limenitega pumbavu....limenasa, lilinikuta nafua akaja kwa bahati mbaya akaniomba kunisaidia nikakubali bali hadi kupiga deki na mengine huko huko....duuuuuuh!. kawa mke wangu naambiwa mimba na nmeletewa home tena wazee wa kanisa wameniletea. Mm hata sijui habari za clinic...nitakuwa msomaji nami niwe nasikilizia msala wangu home
hahaha, alikuwa mtu wangu tulivurugana kulikuwa hakuna mawasiliano ya simu basi ikawa hivo hahahaKwanini unachomekachomeka kiholela bila kondomu?? Haya kapime UKIMWI, kisonono, pangusa na kaswende!
Nchi gani?wiki 2 ukiwa na uhakika una mimba anza kupanga appointments, wiki nne unaanza kupokea utaratibu wa chakula bora na mazoezi na mapumziko.