Mimba iliyotunga nje ya mji wa mimba inaweza ku-survive?

Van Pauser

JF-Expert Member
Mar 21, 2017
417
418
Habari za muda muda huu wanajamvi. Ni matumaini yangu kuwa mnajiandaa vema na maandalizi ya kuupokea mwaka.

Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu. Naomba kwa mwenye ufahamu juu ya masuala ya uzazi. Kwa mwanamke ambaye mimba imetunga nje ya mji wa mimba ina uwezekano wa kuweza kusurvive mpaka kutimiza miezi 9 na hatimaye kujifungua?

Je kama haina uwezekano wa kusurvive inatakiwa afanye nini ili kuepuka madhara ambayo yanaweza kujitokeza?

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu ni hapana ectopic haiwezi kusurvive kuzidi miezi mi3 ya mwanzo (1st trimester) .
Mara nyingi mimba hizi zinatunga kwenye mirija ambapo mazingira husika hayaruhusu mimba kukua ukilinganisha na kwenye uterus.
Solution ni upasuaji na kiumbe kutolewa nje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna, ni vigumu sana hasa kwa maeneo ambayo inapenda kutokea.

11.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom