Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,030
- 3,324
Wakuu habari,
Nina swali, kama mwanamke alikua mjamzito, mimba ikatoka ikiwa hata haijafika miezi miwili, je kitaalamu mwanamke huyo akae muda gani ndipo abebe mimba nyingine?
Nina swali, kama mwanamke alikua mjamzito, mimba ikatoka ikiwa hata haijafika miezi miwili, je kitaalamu mwanamke huyo akae muda gani ndipo abebe mimba nyingine?