Ok kama unableed tarehe 4 kisha tena mpaka tarehe 4 .habar wapendwa nlikuwa naomba kuelekezwa maana nashindwa kuelewa hipi sku ya hatar nabird tarehe4 ad trehe 4 tena nabird sku 5 sielew mzunguko wngu ni upi 28 au 29
Ety jaman samahan nina swali nilifanya mapemzi siku salma na ila bao la kwanza nahisi alimwaga ndani mengn tulitumia kondom nikawa nawasiwasi kupata mimba nimepima tyr baada ya siku 10 imeonesha sina mimba ety naweza pata mimba
At God's own time, It shall be well and you will be a Mom. Trust in God.siogopi ndugu yangu ila nilikuwa na shauku sn , nackitika nimeanza period leo inamaana mimba haikuingia
Sasa wewe, ulikunywa P2 kuzuia mimba.Jaman Samahani nina cku ya kumi saiv tang nilikunywa p2 kuzuia io mimba na leo ni cku ya kumi kipo negative ety ni majibu sahihi au mes bdo nisubr mda
Hahahahahahahahahahaha nadhani amechanganyiwa na maudhi ya dawa ya P2.Sasa wewe, ulikunywa P2 kuzuia mimba.
Umepima ni negative.
Unachotaka hasa ni nini?
Ni majibu sahihi.Jaman Samahani nina cku ya kumi saiv tang nilikunywa p2 kuzuia io mimba na leo ni cku ya kumi kipo negative ety ni majibu sahihi au mes bdo nisubr mda
Kwani ulitegemea uwe nayo au?Ety Samahani nmepima leo cku ya 11 kipimo kimeonesha negative vip yapo sawa au nisubr
Kwani ulitegemea uwe nayo au????
Kwani ulitegemea uwe nayo au????
Hapana nahisi Sina maana leo ni cku ya 13 nimepima bdo negativeKwani ulitegemea uwe nayo au????
Samahan unaweza inbox niulize maswal zaid 0788836221Hapana nahisi Sina maana leo ni cku ya 13 nimepima bdo negative
Rikiboy nitextSamahan unaweza inbox niulize maswal zaid 0788836221
Rikiboy nitext