Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Ulianza vizuri sana hadi ukakubalika na kufanya uwe na wafuasi wengi hasa kwenye mtandao wa You tube.
Kupata vijisenti ndo kumekufanya utoke njia kuu au unatumia imani yetu kwako kutudhulumu? Nimekuvumilia muda mrefu ila leo nimeamua kukuchana kwa lengo la kujenga tu na si vinginevyo.
Kwanza channel yako nayo imeingia kwenye ule upuuzi wa kuandika Title isiyoendana na habari husika, wakati mwingne hadi unaturn off comments, badilika.
Ulichoniudhi zaidi ni leo nimetoka zangu kwenye mizunguko yangu kufika home nkasema nijipumzishe niingie MillardAyo nimsikilize Mwamba alichohutubia taifa, hotuba imejaa mikasi mikasi tu, unaedit habari hadi znakosa uhalisia.
Habari km ina maudhui usiyotaka achana nayo maana utasababisha upotoshaji kwa mfuatliaji, usitulie mb zetu kwa kutulisha matango pori.
Badilika.
Kupata vijisenti ndo kumekufanya utoke njia kuu au unatumia imani yetu kwako kutudhulumu? Nimekuvumilia muda mrefu ila leo nimeamua kukuchana kwa lengo la kujenga tu na si vinginevyo.
Kwanza channel yako nayo imeingia kwenye ule upuuzi wa kuandika Title isiyoendana na habari husika, wakati mwingne hadi unaturn off comments, badilika.
Ulichoniudhi zaidi ni leo nimetoka zangu kwenye mizunguko yangu kufika home nkasema nijipumzishe niingie MillardAyo nimsikilize Mwamba alichohutubia taifa, hotuba imejaa mikasi mikasi tu, unaedit habari hadi znakosa uhalisia.
Habari km ina maudhui usiyotaka achana nayo maana utasababisha upotoshaji kwa mfuatliaji, usitulie mb zetu kwa kutulisha matango pori.
Badilika.