Millard Ayo, mtangazaji tajiri zaidi Tanzania, analipwa Mil 50-80/month na Youtube

Na ndiyo maana nasisitiza, ukipata ka desk, ka computer, bundle, chumbani kwako tu, ukitumia akili na ujuzi wako waweza tengeneza pesa wakuu nzuri tu, swala ujuwe utafanya nini, kuajiriwa sawa, ila waweza kujiajiri kupitia internet tu..Vijana wachangamke kama mwenzao...
Tips:- Kutoka kwa wanaoshauri kama kweli...
Top ways to make money online and offline
  1. No-risk matched betting. Hands down the quickest way to make a lot of money (well, without breaking the law). ...
  2. Online surveys. ...
  3. Paid for searching the web. ...
  4. Online market trading. ...
  5. Start your own website. ...
  6. Review websites & apps for cash. ...
  7. The 'Disney Vault' secret. ...
  8. 'Get Paid To' sites.
 
Safi sana ni somo zuri kwetu vijana tukitumia vizuri mitandao ya ki jamii kuna utajiri sana huku
 
Yupo vizuri
ila unamaanisha Harmonize kamchapa yule King Sijui Kiba!!
kiba ni msani mwenye sauti nzuri ila ni mvivu hapendi kujituma
Harmonize na diamond yaan wcb wana kiu ya mafanikio wanajituma kila inapoitwa Leo hawalali wanapambana kutafuta fursa za kiuchumi

Kiba hana hiyo spirit mkuu
 
Na ndiyo maana nasisitiza, ukipata ka desk, ka computer, bundle, chumbani kwako tu, ukitumia akili na ujuzi wako waweza tengeneza pesa wakuu nzuri tu, swala ujuwe utafanya nini, kuajiriwa sawa, ila waweza kujiajiri kupitia internet tu..Vijana wachangamke kama mwenzao...
Tips:- Kutoka kwa wanaoshauri kama kweli...
Top ways to make money online and offline
  1. No-risk matched betting. Hands down the quickest way to make a lot of money (well, without breaking the law). ...
  2. Online surveys. ...
  3. Paid for searching the web. ...
  4. Online market trading. ...
  5. Start your own website. ...
  6. Review websites & apps for cash. ...
  7. The 'Disney Vault' secret. ...
  8. 'Get Paid To' sites.
Mkuu unaweza kufafanua kwa kina hii post nazan ndiyo post yenye umuhimu kuliko zote kwenye Uzi huu ,
 
Mkuu unaweza kufafanua kwa kina hii post nazan ndiyo post yenye umuhimu kuliko zote kwenye Uzi huu ,
Ntaweka ushauri kaka, ila kufanikiwani juu yako, jinsi utakavyotumia akili yako, resouces zako na bidiii:-
  • Waweza jisajili through frelancer, wewe type tu, mle kuna kazi za kila aina, kuanzia bookkeeping to data entry (Zote ntakazolist zahitaji uwe na paypal account). Pia www.virtualassistantjobs.com
  • Andika Guides, sema za Arusha/Dar/Moshi au popote ulipo na zipost --- Fiverr/Elance/Craiglist
  • Rent PC Gb za CPU yako, hii ni hatari kama sio mwangalifu, ila kwanini PC yakaa bure tu bila kutengeneza pesa? Jisajili kupitia Slicify/MQL5/Digital Generation/IPU Services/RUBLIK...
  • Kodisha hela zako kupitia ZOPA...(zote hizi kaka kuwa mwangalifu please, soma maelekezo, angalia kama ni scams au la, uliza watu)
  • Fundisha onlinec(www.tutor.com HigherEdJobs.com UKTutors
  • Uza vitabu vyako vya masomo au Novels online (hii rahisi Ebay etc etc)
  • Kubali Skype/Vonage watumie Broadband yako kupiga simu zao, ingia tu huko search wanavyo hire your Broadband..
  • Pangisha nyumba yako for FILMING etc etc
  • ...
Mengine wataongeza wajuzi, ila kama huna kazi na wataka kujiajiri, haya mbona yanakupa hela ya nyanya na vitunguu ule au ulishe familia kaka...
 
Youtube wanasema kipato chake kwa mwezi kina range kuanzia, dola 2,600 hadi dola 41, 400..... ukichukulia katikati hapo ni kama dola 22,000 amabazo ni milioni almost 50 kwa tanzania, bila kodi

View attachment 547197
Hizo ni estimates za SocialBlade na sio from Youtube! Social Blade ni wazuri sana kwenye public data kama vile Subs, Views n.k lakini linapokuja suala la earnings, majority of Youtubers hawawaamini Social Blade. Na hili wala halihitaji kuwa mtalaamu! Ni estimation gani yenye margin difference kubwa kiasi hicho>>> 2.6K to 41.4K !!!
 
Tafakari pia operating costs, zinazopelekea hayo matangazo na watazamaji wake kuwepo, lazima kuna gharama hiyo pesa haijaja hivihivi tuu.
Hamna cha operating cost wala nini!! Mwenye operating cost ni kwa mtu kama Millard Ayo lakini sio Harmonize ambazo video zake ni nyimbo zake ambazo, pawe na Youtube au pasiwe na Youtube lazima azigharamie!!!

Kwenye Youtube kama content sio tatizo, wewe ni kupata Google Adsense code ambayo nayo ni free, umemaliza kazi!!!!
 
Hizo ni estimates za SocialBlade na sio from Youtube! Social Blade ni wazuri sana kwenye public data kama vile Subs, Views n.k lakini linapokuja suala la earnings, majority of Youtubers hawawaamini Social Blade. Na hili wala halihitaji kuwa mtalaamu! Ni estimation gani yenye margin difference kubwa kiasi hicho>>> 2.6K to 41.4K !!!
mkuu si wataalamu wanasema unalipwa dola 7.9 tangazo likiwa viewed mara 1000 na Youtube wanachukua 45% ya revenue? sasa jamaa kulingana na hao socialblade jamaa amepata views 10,000, 000+ kwa siku 30 zilizopita hapo ni dola 79,0000 assuming matangazo yameonekana kila mara video inapokuwa viewed,ila kwa kuwa sio kila mara tangazo linatokea tufanye ni dola 50,000, hapo Youtube wana chukua 45% ya $ 50,000 ambayo ni $ 22,500 wanamuachia $ 27,500 ambayo inaangukia kwenye range ile ile tu, au wamedanganya views?
 
Najua ulipoitoa na hao watu pia wao hawajagusa kuhusu ad views wao wanaangalia tu watu wa ngapi wameona video fulani. tukumbuke kuwa video nyingi za millardi hazina matangazo mwanzoni
mkuu si umesema unalipwa dola 7.9 tangazo likiwa viewed mara 1000 na Youtube wanachukua 45% ya revenue? sasa jamaa kulingana na hao socialblade jamaa amepata views 10,000, 000+ kwa siku 30 zilizopita hapo ni dola 79,0000 assuming matangazo yameonekana kila mara video inapokuwa viewed, ila kwa kuwa sio kila mara tangazo linatokea tufanye ni dola 50,000, hapo Youtube wana chukua 45% ya $ 50,000 ambayo ni $ 22,500 wanamuachia $ 27,500 ambayo inaangukia kwenye range ile ile tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom