Ml 80 kwa mwezi that's means anamzidi Magu kwa mshahara? Haaaa haaaa hi hatarii
Ml 80 kwa mwezi that's means anamzidi Magu kwa mshahara? Haaaa haaaa hi hatarii
Acheni kuwapotisha vijana na wasiojielewa.. kwa kipato hicho ansingekuwa anasaini kila siku jioni kwa Ruge (Clouds) na kusubiri mshahara Mwisho wa mwezi.. kwa ufupi hiyo faida hata clouds hawaingizi kwa mweziKwanza kabisa nikupe hongera Millard ayo kwa kazi nzuri unayofanya ya uandishi wa Habari. Wewe una kipaji kikubwa sana.
Presenter millard Ayo ndio anayetajwa kuwa mtu anayepokea royalities za You tube nyingi zaidi baada ya Diamond Platnumz katika nchi ya Tanzania, hii ni kutokana na viewers na subscribers wa channel zake ambapo kwa mwezi malipo yake huwa yana range mil 50 hadi 80 kutokana na idadi ya viewers, diamond anarange 80mil-130mil kwa mwezi.
Kwakweli nimpe hongera kwani ameajiri vijana wengi(zaidi ya 10) ktk online TV yake.
Vijana nawaasa muwe wabunifu kama millard na mtafanikiwa sana. Millard ayo tunatarajia kuona mambo zsidi kutoka kwako, ikiwezekana ufungue kituo cha radio na television kwani una mashabiki wengi.
Wengine wanaovuna mkwanja mkubwa you tube ni global tv, harmonize, rayvanny. Actually hata wasanii ambao sijawataja nao wanapata pesa nyingi tu.
Thanks
mmmhmhMl 80 kwa mwezi that's means anamzidi Magu kwa mshahara? Haaaa haaaa hi hatarii
Kivp?
Ungempa mfano wa kokakola.nadhani habari anazotangaza pia zipokwenye blog yake, so kuandaa kuna serve both kazi yakebinafsi na kazi ya clouds, halafu promo hainaga mwisho inahitajika tu, fikiria voda wanafanya promo zote hizo kwenye tv, radio na blogs, mabango, ligi kuu japokuwa wanafahamika na wanaweza kutuma sms pia
Milele aminaaaaaaaaaaa.Tumsifuni Yesu kristo
mkataba wake na "clauz" uisheMillard Ayo anamiliki Vifaa vya Redio na Tv kabisa. Akiamua kuweka Transmitter tu anaruka hewani.
Sema kuna kitu anasubiri kitimie.
Mmh mbona umeniwahi kama vipi atuow woteKumbee. Loh. Ivi ameoa kweli. Niwe shemeji yenu
Ujana haubagui.
Ni kweli ni mbunifu sanaNimeisha kusema katika watu nawaokubali huyu Dogo mmojawapo!!!!!!