Millard Ayo azuiwa kuweka nembo yake magazeti ya Mwananchi

Ndugu yangu kama unataka kuelewa, majibu yote ya hoja zako yapo kwenye jibu langu la awali-labda kama hukusoma mpaka mwisho. Umekuja na hoja nyingine ya mpaper app, hiyo app ni ya nani? Inakuwezesha kusoma magazeti gani? Wamiliki wa hiyo app wana makubaliano gani na wamiliki wa magazeti? Kosa hata likifanywa na watu milioni haliwi halali.

Nitakujibu tena kuwa kisheria, haijarishi umecopy kiasi gani-ukikopi chapter moja au chapter zote bado ni kosa kisheria. Hivyo hoja kwamba anapiga picha kurasa za mbele tu haimfanyi asiwe na hatia. Hoja kwamba kupiga picha hamna tofauti na wale wanaotizama kibandani yanapouzwa magazeti-jibu ni kuna tofauti kama unafanya kwa lengo la kupata faida na Ayo anapata faida ya matangazo katika mtandao wake. Sheria ya hakimiliki ni kongwe sana, ilianza kutumika karne kadhaa zilizopita-haina utata kama unaousema. Wamiliki wa magazeti wana haki ndo maana Ayo ametii wito wao. Atatii pia hata wito wa kutopiga picha magazeti yao wakitaka.

Watanzania hatuna utamaduni wa kuheshimu intellectual property ndo maana unakuta mtu anauza nyimbo sehemu ya wazi na anatangaza (wale wanaotuwekea nyimbo kwenye simu, flash, CD, nk). Msanii anatoa pesa ili wimbom wake upigwe redion wakati ilibidi yeye ndo alipwe wimbo wake ukipigwa redion. Kuna watu wamekua maarufu sana kwa kutafsiri kwa kiswahili movie za kigeni na kila mtu anafurahia uvunjifu huo wa sheria miaka nenda rudi. Wote hao wanafanya makosa ikiwa hawakukubaliana na kuwalipa wamiliki halisi wa kazi zao. Mazoea sio sheria.
Well said mkuu. Couldn't add more. You have said it all.
 
Sijaelewa kwanini leo gazeti la Tanzania Daima halijapigwa picha!? Nahisi kuna hujuma maana nilikuwa nasubiria kusoma kuhusu hongo za magari alizopewa bwana madereva kolomije na wauza sembe.
986ba46e00fc23b1dcd14197ed10f728.jpg
 
Mkuu millard hauzi gazeti wala picha ya gazeti. Kitu kikishakuwa public huwezi kuzuia picha yake labda kuwa na manufaa ya moja kwa moja. Ingekuwa hivyo kila mtu angedai chochote endapo kamera za TV au gazeti zikimfotoa na akatokea. Anachofanya millard kinafanywa na TV kubwa tu na hao wote wanapiga picha na kukata matangazo.
Naona hapa tutakesha. Tatizo aidha unajua ila unajifanya haujui au unakwepa makusudi au hauji lakini unalazimisha. Kuna kitu kimoja zingatia context ya matumizi ya hizo frontpage za magazeti ktk website ya Millard Ayo. Ingekuwa anazisoma tu ktk ayo TV na kipindi cha redioni unafikiri angepewa hayo mashariti? Sababu nini? Kwa vile pale ktk TV na redioni anauhabarisha tu umma. Lakini ku-reproduce image ya hiyo page kwa kuipiga picha au photocopy na kuingiza trademark yako kwa picha ya bidhaa ya mtu kisha kuiweka mahali ambapo utaitumia kibiashara kupata faida hiyo ni violation of copyright law. Yeye anatengeneza faida. Mfano kama yule wa news stand angekuwa anatoza pesa kwa kila anaekuja kuangalia hizo headline za front page pale mezani basi na hawapi mgao wao wamiliki wa gazeti yeye angekuwa anavunja sheria pia. Ile kuweka tu nembo yako ktk ile picha ya gazeti na kuisambaza kwa kuiweka ktk website au kwa simu au hardcopy ni kosa, sababu unajitangaza kupitia product yao bila makubaliano iwe unajitangaza kwa faida ya kibiashara au sivyo bado ni kosa la copyright law violation.
 
Ndugu yangu kama unataka kuelewa, majibu yote ya hoja zako yapo kwenye jibu langu la awali-labda kama hukusoma mpaka mwisho. Umekuja na hoja nyingine ya mpaper app, hiyo app ni ya nani? Inakuwezesha kusoma magazeti gani? Wamiliki wa hiyo app wana makubaliano gani na wamiliki wa magazeti? Kosa hata likifanywa na watu milioni haliwi halali.

Nitakujibu tena kuwa kisheria, haijarishi umecopy kiasi gani-ukikopi chapter moja au chapter zote bado ni kosa kisheria. Hivyo hoja kwamba anapiga picha kurasa za mbele tu haimfanyi asiwe na hatia. Hoja kwamba kupiga picha hamna tofauti na wale wanaotizama kibandani yanapouzwa magazeti-jibu ni kuna tofauti kama unafanya kwa lengo la kupata faida na Ayo anapata faida ya matangazo katika mtandao wake. Sheria ya hakimiliki ni kongwe sana, ilianza kutumika karne kadhaa zilizopita-haina utata kama unaousema. Wamiliki wa magazeti wana haki ndo maana Ayo ametii wito wao. Atatii pia hata wito wa kutopiga picha magazeti yao wakitaka.

Watanzania hatuna utamaduni wa kuheshimu intellectual property ndo maana unakuta mtu anauza nyimbo sehemu ya wazi na anatangaza (wale wanaotuwekea nyimbo kwenye simu, flash, CD, nk). Msanii anatoa pesa ili wimbom wake upigwe redion wakati ilibidi yeye ndo alipwe wimbo wake ukipigwa redion. Kuna watu wamekua maarufu sana kwa kutafsiri kwa kiswahili movie za kigeni na kila mtu anafurahia uvunjifu huo wa sheria miaka nenda rudi. Wote hao wanafanya makosa ikiwa hawakukubaliana na kuwalipa wamiliki halisi wa kazi zao. Mazoea sio sheria.

Ndugu yangu naona tunapishana:
1. Mpaper app wana makubaliano na magazeti mengi tu ambayo yote unaweza kuyasoma kama yalivyo kwenye mtandao. Hoja yangu hapa ilikuwa kwamba kama ambavyo mtu anaweza kununua gazeti kwa kuvutiwa na frontpage kibandani, basi anaweza vile vile kwa teknolojia ya sasa akadownload gazeti kwa kuvutiwa na frontpage kwenye blog ya millard. Hivyo ilitakiwa publishers wasiweke figisu kwa millard kusambaza frontpages zao.
2. Hizo frontpages kwa millard haziuzwi, unazipata bure kama unavyopata bure habari zingine zozote zile. Sheria hapo haiapply! Makampuni yote yaliyokwenda shule yanapenda sana kutajwatajwa kwenye habari za jumla kwa sababu ni matangazao indirectly! Ndipo hapo ninapowashangaa wenye magazeti kutokuliona hili. They have nothing but gain pale frontpages zao zinapokuwa shared online.
3. Mifano mingine yote uliyotoa haiapply kwa sababu sicho ninachoongelea hapa. Kama una access na skynews (inapatikana channel 10 asubuhi) angalia utaona jinsi wanavyosoma front and back pages kwa kutumia picha za magazeti na wakiwa wameyakata matangazo!
 
Hao wamiliki wa magazeti kwa nini wasimkataze kabisa kutuma magazeti online?

Huoni kwamba wao wanakubali kutangazwa naye (anavyorusha vichwa vya habari zao na kufanya watu watake kusoma zaidi), lakini hawakubali kumtangaza yeye kwa yeye kuweka nembo yake?
 
Naona hapa tutakesha. Tatizo aidha unajua ila unajifanya haujui au unakwepa makusudi au hauji lakini unalazimisha. Kuna kitu kimoja zingatia context ya matumizi ya hizo frontpage za magazeti ktk website ya Millard Ayo. Ingekuwa anazisoma tu ktk ayo TV na kipindi cha redioni unafikiri angepewa hayo mashariti? Sababu nini? Kwa vile pale ktk TV na redioni anauhabarisha tu umma. Lakini ku-reproduce image ya hiyo page kwa kuipiga picha au photocopy na kuingiza trademark yako kwa picha ya bidhaa ya mtu kisha kuiweka mahali ambapo utaitumia kibiashara kupata faida hiyo ni violation of copyright law. Yeye anatengeneza faida. Mfano kama yule wa news stand angekuwa anatoza pesa kwa kila anaekuja kuangalia hizo headline za front page pale mezani basi na hawapi mgao wao wamiliki wa gazeti yeye angekuwa anavunja sheria pia. Ile kuweka tu nembo yako ktk ile picha ya gazeti na kuisambaza kwa kuiweka ktk website au kwa simu au hardcopy ni kosa, sababu unajitangaza kupitia product yao bila makubaliano iwe unajitangaza kwa faida ya kibiashara au sivyo bado ni kosa la copyright law violation.

Naona wewe ndio unalazimisha mambo. Millard anachajisha sh ngapi kutazama hizo frontpages ili twenda sawa na mfano wako? Millard anatoa habari nyingi zikiwamo hizo picha za magazeti bure! Sasa hapo copyright issues zinatoka wapi? Yeye analipwa pesa kwa matangazo ya jumla kwenye blog yake na sio specifically kwa ajili ya hizo picha.
Na pili unazungumzia sheria lakini hujaona kuwa trademark ya millard kwenye hizo picha zinalinda picha ambayo ni mali ya millard kisheria na sio gazeti tena. Nikikupiga picha wewe hadharani haki za hiyo picha ni zangu sio zako! Ndio maana unaona gazeti linampiga picha magufuli lakini pale chini linasema haki zimehifadhiwa. Je maana yake wanamiliki magu? Picha ya gazeti sio gazeti mkuu.
Hapa kuna ujuaji mwingi kwa upande wa magazeti na kutokutaka ligi kwa upande wa millard. Kwa sababu logically, huwezi kuwa okay na kusomwa kwa habari zote front page kwenye TV na radio halafu ukaleta figisu endapo gazeti hilo litapigwa picha na kusambazwa, kwani linaposomwa front page wanasoma na hayo matangazo ya biashara au huwa wanayapotezea?
 
Naona wewe ndio unalazimisha mambo. Millard anachajisha sh ngapi kutazama hizo frontpages ili twenda sawa na mfano wako? Millard anatoa habari nyingi zikiwamo hizo picha za magazeti bure! Sasa hapo copyright issues zinatoka wapi? Yeye analipwa pesa kwa matangazo ya jumla kwenye blog yake na sio specifically kwa ajili ya hizo picha.
Na pili unazungumzia sheria lakini hujaona kuwa trademark ya millard kwenye hizo picha zinalinda picha ambayo ni mali ya millard kisheria na sio gazeti tena. Nikikupiga picha wewe hadharani haki za hiyo picha ni zangu sio zako! Ndio maana unaona gazeti linampiga picha magufuli lakini pale chini linasema haki zimehifadhiwa. Je maana yake wanamiliki magu? Picha ya gazeti sio gazeti mkuu.
Hapa kuna ujuaji mwingi kwa upande wa magazeti na kutokutaka ligi kwa upande wa millard. Kwa sababu logically, huwezi kuwa okay na kusomwa kwa habari zote front page kwenye TV na radio halafu ukaleta figisu endapo gazeti hilo litapigwa picha na kusambazwa, kwani linaposomwa front page wanasoma na hayo matangazo ya biashara au huwa wanayapotezea?
Huwezi kusema Millard anatoa magazeti bure wakati magazeti yanamuongezea traffic kwenye website yake na traffic hiyo ni hela ukiwa kwenye internet.

Fedha siku hizi si kuuza kitu tangible tu.

Unaweza kuuza matangazo kwenye site yakona ukiwa na watu wengi wanakuja tayari ni manufaa ya kifedha hayo.
 
Huwezi kusema Millard anatoa magazeti bure wakati magazeti yanamuongezea traffic kwenye website yake na traffic hiyo ni hela ukiwa kwenye internet.

Fedha siku hizi si kuuza kitu tangible tu.

Unaweza kuuza matangazokwenye site yakona ukiwa na watu wengi wanakujatayari ni manufaa ya kifedha hayo.
Of course anatoa bure habari kwa sababu ya traffic, hata JF hapa tunatumia bure kwa sababu ya traffic, sijaelewa what your point is, what's so special kuhusu hizi frontpages tofauti na habari zingine anazotoa?
 
Of course anatoa bure habari kwa sababu ya traffic, hata JF hapa tunatumia bure kwa sababu ya traffic, sijaelewa what your point is, what's so special kuhusu hizi frontpages tofauti na habari zingine anazotoa?
Kama anafaidikakwa taraffic,hiyo si bure.

Traffic inamuingizia hela. Unaelewa hilo?
 
Naona wewe ndio unalazimisha mambo. Millard anachajisha sh ngapi kutazama hizo frontpages ili twenda sawa na mfano wako? Millard anatoa habari nyingi zikiwamo hizo picha za magazeti bure! Sasa hapo copyright issues zinatoka wapi? Yeye analipwa pesa kwa matangazo ya jumla kwenye blog yake na sio specifically kwa ajili ya hizo picha.
Na pili unazungumzia sheria lakini hujaona kuwa trademark ya millard kwenye hizo picha zinalinda picha ambayo ni mali ya millard kisheria na sio gazeti tena. Nikikupiga picha wewe hadharani haki za hiyo picha ni zangu sio zako! Ndio maana unaona gazeti linampiga picha magufuli lakini pale chini linasema haki zimehifadhiwa. Je maana yake wanamiliki magu? Picha ya gazeti sio gazeti mkuu.
Hapa kuna ujuaji mwingi kwa upande wa magazeti na kutokutaka ligi kwa upande wa millard. Kwa sababu logically, huwezi kuwa okay na kusomwa kwa habari zote front page kwenye TV na radio halafu ukaleta figisu endapo gazeti hilo litapigwa picha na kusambazwa, kwani linaposomwa front page wanasoma na hayo matangazo ya biashara au huwa wanayapotezea?
Sawa mkuu. I give up my friend, With this style of making argument! I bet we won't get nowhere my friend. Let's not waste our valuable and precious time.
 
Kwa msingi gani?

Waandishi wa habari wana haki ya kuandika habari. Hiyo habari ya kila anayeandikwa alipwe imekujaje?
Sasa unateteaje picha za magazeti zilipwe wakati na zenyewe ni habari vile vile? Kama humlipi mtu kumtoa kwenye gazeti kwa nini picha za kurasa za mbele za gazeti ziwe ishu kuchapishwa?
 
Sasa unateteaje picha za magazeti zilipwe wakati na zenyewe ni habari vile vile? Kama humlipi mtu kumtoa kwenye gazeti kwa nini picha za kurasa za mbele za gazeti ziwe ishu kuchapishwa?
Kwanza kabisa, twende pole pole, hatua kwa hatua. Wapi nimetetea picha za magazeti "zilipwe", whatever that means?

Picha zinalipwaje?
 
Back
Top Bottom