babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 12,894
- 15,636
hili tangazo limetolewa leo kwenye mtandao wa magaidi
wakati watu wakijiandaa na christmas,jumamosi kuna tukio lilitokea stockholm central,ni baada ya bwana mmoja mkimbizi toka iraq aliyepewa uraia wa sweden alilipukiwa na bomu alilokuwa amejikoki tayari kwa kwenda kujilipua kwenye mkusanyiko wa watu wengi.inavyosemekana hayo mabomu aliyobeba yaliwahi kulipuka kabla ya muda wake na yakamuua mwenyewe mbebaji na kujeruhi watu wawili,kuna mabomu pia aliyokuwa ameweka ndani ya gari yake nayo yalilipuka dk kumi kabla na haya aliyobeba kumlipukia mwenyewe.
habari zaidi soma chini
One dead after suicide bombing in Stockholm