KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Kumekuwepo na taarifa zisizokuwa rasimi watu wakithubutu hata kusema milipuko yote iliyotekea katika makmbi hayo ni hujuma je wewe na mimi waweza kuhisi ni hujuma au ni bahati mbaya?
Maana kwa mtizamo wangu mimi ninaona ni uzembe!!Maana kama ingekuwa ni hujuma sidhani kama wanaofanya hujuma wangepoteza maisha yao!!Maana kwa tetesi ya watu waliokufa mbagala nizaidi ya idadi iliyosemwa na serikali!!
Kwanza inasemekena Vijana waliokuwa wakifanya ukaguzi kwenye maghala hayo ilikuwa ni Platoon Moja wale wenzangu na mimi mliobahatika kupitia mgambo au JKT mtakuwa mmejua nimemaanisha nini Platoon ni idadi ya watu 33! Hivyo wote hakuna aliyenusurika katika ajali ya mbagala achilia waliokuwa katika mabweni!
Sasa, waliokufa Gongo la Mboto walikuwa wangapi waliopoteza maisha katika Ajali hi je niwale waliotajwa na serikali au ni zaidi ya hapo?
Je, ni bahati mbaya? Je, ni uzembe? Je, ni hujuma? Je, ni nani awajibike: Mnadhimu wa Jeshi au Waziri wa Ulinzi Hussein Mwinyi?
Maana kwa mtizamo wangu mimi ninaona ni uzembe!!Maana kama ingekuwa ni hujuma sidhani kama wanaofanya hujuma wangepoteza maisha yao!!Maana kwa tetesi ya watu waliokufa mbagala nizaidi ya idadi iliyosemwa na serikali!!
Kwanza inasemekena Vijana waliokuwa wakifanya ukaguzi kwenye maghala hayo ilikuwa ni Platoon Moja wale wenzangu na mimi mliobahatika kupitia mgambo au JKT mtakuwa mmejua nimemaanisha nini Platoon ni idadi ya watu 33! Hivyo wote hakuna aliyenusurika katika ajali ya mbagala achilia waliokuwa katika mabweni!
Sasa, waliokufa Gongo la Mboto walikuwa wangapi waliopoteza maisha katika Ajali hi je niwale waliotajwa na serikali au ni zaidi ya hapo?
Je, ni bahati mbaya? Je, ni uzembe? Je, ni hujuma? Je, ni nani awajibike: Mnadhimu wa Jeshi au Waziri wa Ulinzi Hussein Mwinyi?