niko hk goba nasikia hy misauti nimetoka nje najaribu kuchungulia hata nimekuwa nawsws bhanaNaona moto mkali na sauti kama milio ya baruti huko maeneo ya kigamboni whats going on guyz. isije ikawa kama siku zileee
Mkuu umeona watu wanachoma takataka tu.Naona moto mkali na sauti kama milio ya baruti huko maeneo ya kigamboni whats going on guyz. isije ikawa kama siku zileee
Naona moto mkali na sauti kama milio ya baruti huko maeneo ya kigamboni whats going on guyz. isije ikawa kama siku zileee