Ujenzi wa nyumba kwa bajeti ya milion 5

Unaweza ila muhimu uwe na muda wa kusimamia ujenzi na upate fundi mzuri.

Hivi ni vitu muhimu kujua bei yake kabla hujaanza.
_ Mchanga
_ Cement
_Mawe
_ Kokoto
_ Tofali

Msingi usizidi ml 3, hapa hakikisha umemwaga na jamvi
Boma liende 4 ml
Kuezeka mil 4
Shimo la choo laki 8
Grill 1.2
Mlango wa mbele na nyuma laki 5 na flem zake
Plaster nje ndani mil 1.3
Laki 2 dharula

Ujenzi unawezekana chief, muhimu ni kuwa na roho ngumu na kuziba masikio,maana wakatisha tamaa ni wengi.

All the best.
 
Back
Top Bottom