Mzee wa kurekebisha
Senior Member
- Sep 29, 2012
- 178
- 169
Unafikiri kama amezichota atarudi saa hizi huku? kama ni mtu wa tungi keshaanza kama ni mtu wa 'bondeni' atakuwa amelipia room ya siku tatu au wiki pia si ajabu anahojiwa huko kwa kujaribu kuiba baada ya kufuata ushauri kutoka jamii forums ole wake kama alikuwa anajaribu kuchota mshahara wa FFU au JWTZ....Kimya? Au ilikuwa ni Story tu sasa bado anafikiria aiendelezeje??