Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Habari zenu ndugu zangu, nimeacha pesa kidogo sana kwenye
Account yangu ya NMB. (2,356,700) Nimeenda kuangalia salio
nimekuta 52,356,700.
Je naweza kuchukua hizi pesa na nisishitakiwe?
kama nitashitakiwa kuna uwezekano wa kushinda kesi?
Tafadhali naombeni maelezo haraka iwezekanavyo.
NB kwenye heading ni (50,000,000)
chukua mkuu... huo ni mkopo usio na riba