mkiluvya
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 802
- 725
Waziri Ummy ameyasema hayo wakati akizindua kituo cha kutoa Tiba ya methadone kwa waratibu wa Dawa za kulevya ambapo Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya wamekijenga katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tanga Bombo kitakachogharimu zaidi ya Millioni 700 ambacho kitakamilika mwezi wa December mwaka huu.
Waziri Ummy amesema ni vyema waratibu hao pindi watakapo maliza matibabu wakawekwa kwenye vikundi ili waweze kupewa mikopo.