Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..., nasikia eti magari garama kama haya, ukipanda yanajiendesha, eti?
Sio kujiendesha tu! Unapanda kwa bluetooth na lina Memory card ndani!
Sio kujiendesha tu! Unapanda kwa bluetooth na lina Memory card ndani!
Wakuu poleni na majukumu, nina swali kidogo hivi kwa mil 60 ninaweza kuagiza range rover sport from uk...? Nikimaanisha mpaka kulipia kodi kila kitu.....inaweza kutosha ?......nisaidieni wakuu
kiongozi nina jamaa alinunua range rover sasa limemshinda anasema linabugia mafuta sana na yeye biashara zinayumba kama vp niwaunganishe ununua alikuwa anauza 84 lkn hata mtu wa offa hakuwahi kutokea naamini atachukua hiyo pesa kama vp tuwasiliane gari ipo hapo starchart bank
aiseeeeeeee babaangu kama una izo pesa sisi watu wa rombo 2nakuomba uje ku2jengea shule na utuchimbie visima mkuu 2nakuomba sana mkuu hizo ni pesa mingi sana
..., nasikia eti magari garama kama haya, ukipanda yanajiendesha, eti?