JZHOELO
Senior Member
- Sep 20, 2011
- 196
- 351
Husika na kichwa cha habari, nipo Mwanza tafuta Vitz bei mwisho 3.5, itapungua kutokana na hali yake, iwe piston 4 na haina madeni, muuzaji awe mmiliki, ukiwa nayo nipm au weka namba ya simu nitakupigia, biashara ni straight foward sitaki maneno mengi sitojibu mtu zaidi ya mwenye mali kwenye hii post natanguliza shukran wakuu.