Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,792
- 71,206
Hakika sasa watu watahoji hadi wataonekana wana wivu. Makonda Leo katoa Shilingi milioni 100 kwa Chama chake CCM ili kuanzisha mfuko wa kusaidiana ndani ya Chama.
Kwa sababu hakusema kuwa fedha hizo ni za serikali au mchango wa wadau basi ni fedha zake mwenyewe.
Hivi Makonda huwa anapata wapo fedha za kuweza kushindana na wafanyabiashara wakubwa registered katika kutoa misaada?
Sheria ya maadili ya viongozi inataka kiongozi kuweka wazi vyanzo vya mapato, zawadi na hata michango inayopatikana kwa kiongozi. Kwa nini huyu jamaa ni exceptional?
Jee ni mla rushwa mkubwa? Mnyang'anyi wa fedha za wafanyabiashara wakubwa kama tetesi zilivyo? Au pia habari kuwa anatumwa na aliyemteua kukusanya ndio maana hahojiwi?
Kwenye suala hili hakika TAKUKURU wamebaki kuwa Toothless bulldog, na ni aibu kwa taasisi kumshindwa MTU mdogo kama RC wakati tunaona nchi zingine taasisi kama hiyo zinaweza kumuwajibisha hata mkuu wa nchi.
MAKONDA ANATOA WAPI PESA HIZI ZA KUHONGA?
Kwa sababu hakusema kuwa fedha hizo ni za serikali au mchango wa wadau basi ni fedha zake mwenyewe.
Hivi Makonda huwa anapata wapo fedha za kuweza kushindana na wafanyabiashara wakubwa registered katika kutoa misaada?
Sheria ya maadili ya viongozi inataka kiongozi kuweka wazi vyanzo vya mapato, zawadi na hata michango inayopatikana kwa kiongozi. Kwa nini huyu jamaa ni exceptional?
Jee ni mla rushwa mkubwa? Mnyang'anyi wa fedha za wafanyabiashara wakubwa kama tetesi zilivyo? Au pia habari kuwa anatumwa na aliyemteua kukusanya ndio maana hahojiwi?
Kwenye suala hili hakika TAKUKURU wamebaki kuwa Toothless bulldog, na ni aibu kwa taasisi kumshindwa MTU mdogo kama RC wakati tunaona nchi zingine taasisi kama hiyo zinaweza kumuwajibisha hata mkuu wa nchi.
MAKONDA ANATOA WAPI PESA HIZI ZA KUHONGA?