Mh.Kinana ni kiongozi mzuri saana na anayeweza kuongoza na kuishi na watu wa aina yoyote ile.Kinana hana dharau na hana lugha za tashtiti au matusi.Anamjuwa Mwenyezimungu ni nani.Sifa za Kinana zinashabiana na sifa za Lowassa na wote hali zao kimaisha ni nzuri na wanatoa misaada kwa siri na dhahir pia.
SWALI..........kwa nini hao wako hivyo
JIBU.....ni rahisi saana hawa waliandaliwa wakapikwa wakaiva ndipo wakaletwa mezani....kwa neno moja WAMEANDALIWA...
Kama itifaki inaruhusu basi watusaidie kuwaanda viongozi wengine vijana kwa kesho.
SWALI..........kwa nini hao wako hivyo
JIBU.....ni rahisi saana hawa waliandaliwa wakapikwa wakaiva ndipo wakaletwa mezani....kwa neno moja WAMEANDALIWA...
Kama itifaki inaruhusu basi watusaidie kuwaanda viongozi wengine vijana kwa kesho.