Iitakuwa ni shabaha km ww ni mkaz wa mbez beach hasa makonde au jogoo utakuwa unalijua ili
siku hizi hilo tangi bovu halionekani! mbadilishe jina (jokes)..... Ok, Thanx, Mi Niko Tangibovu Hapa.
siku hizi hilo tangi bovu halionekani! mbadilishe jina (jokes).
.... Hahahaha. Mi Mwenyewe Sijui Hilo Tangi Bovu Liko Wapi. Au Walishalitengeneza?
Mh.., nadhani wanapindua nchi..
... Nimesikia Milio Kwa Mda Mrefu Kuanzia Saa 7 Mchana, Sijui Kuna Nini, Mwenye Taarifa Jamani Atujuze, Mimi Naelekea Eneo La Tukio Nijionee, Nikipata Taarifa Nitawajuza.
Litengenezwe wapi?! Lililiwa na kutu hadi likaisha....!
Ukabaki mtaa...
hujatujuza mkuu mpaka saa hii kuna nini huko Mbezi Beach