Baada ya mwanasaikolojia mmoja huko Texas kuchunguza vile wanaume huwa na pozi gani pindi wanapofikia mshindo aligundua yafuatayo;
a) wapo waliolia kama ng'ombe wakati Wa kumaliza
b) wengine aligundua hu-vibrate
c) Wengine hurembuaa.
d) Wengine hujamba
e) Wengine hutoa ulimi
f). Wengine huunguruma kama paka
g) Wapo wanapiga mruzi
h) Wengine ni wanafumba macho kabisa
I) wengine hukandamiza na kung'ang'ania
J) kuna wengine ile tgo hupiga dabo hazard (yaani inaachia na kubana) kama vile wakati wa haja
Sipati picha huu utafiti ungefanyika bongo angepata majibu ya ajabu sana, Wanawake Mtuvumiliege tu huwa ni unconscious .
a) wapo waliolia kama ng'ombe wakati Wa kumaliza
b) wengine aligundua hu-vibrate
c) Wengine hurembuaa.
d) Wengine hujamba
e) Wengine hutoa ulimi
f). Wengine huunguruma kama paka
g) Wapo wanapiga mruzi
h) Wengine ni wanafumba macho kabisa
I) wengine hukandamiza na kung'ang'ania
J) kuna wengine ile tgo hupiga dabo hazard (yaani inaachia na kubana) kama vile wakati wa haja
Sipati picha huu utafiti ungefanyika bongo angepata majibu ya ajabu sana, Wanawake Mtuvumiliege tu huwa ni unconscious .