Ni fataki hizo Leo ni sikukuu ya Diwali Kwa wahindiJamani Npo kitaa Cha magomeni Kuna milio naiskia Kwa mbali sijui ni milio ya Nini Risasi sio Risasi sijui ni Nini mwenye kujua atujuze kabla hatujaanza kutimua mbio!!
Ahsante kwa ufafanuzi mkuu!Ni fataki hizo Leo ni sikukuu ya Diwali Kwa wahindi
Duu afadhari maana majirani wote wapo nje tukajua kimenuka
Mkajua Watigrai wametinga mtaani kwenu?Duu afadhari maana majirani wote wapo nje tukajua kimenuka
Wamekatisha hadi zoezi la kupata al-kasusu na pweza kwa hofu ya sauti za fataki!Wanaume wa bongo mungu anawaona
Nilikuwa chuga/arusha jana, kuna milio hadi tulibadili uelekeo tukajua labda machinga wamekinukisha, kumbe wahindi. hivi wameomba kibali kutishia watu hivyo?Jamani Npo kitaa Cha magomeni Kuna milio naiskia Kwa mbali sijui ni milio ya Nini Risasi sio Risasi sijui ni Nini mwenye kujua atujuze kabla hatujaanza kutimua mbio!!
umeandika kichafuchafu kama hauna akili, sijui umri wako, kama umri wako ni mkubwa basi utakuwa unatoka kwenye familia yenye malezi machafu sana.Fataki tu mnataka kujinyea je mkisikia makombora
Aisee! Maandishi tu yanakupa kiwewe?Angewasilisha vitu vyenyewe "fizikali" si ungelazwa hospitali?Tupo tofauti sana.umeandika kichafuchafu kama hauna akili, sijui umri wako, kama umri wako ni mkubwa basi utakuwa unatoka kwenye familia yenye malezi machafu sana.
Wamekatisha hadi zoezi la kupata al-kasusu na pweza kwa hofu ya sauti za fataki!
Wewe unaombaga kibali jumamosi?Nilikuwa chuga/arusha jana, kuna milio hadi tulibadili uelekeo tukajua labda machinga wamekinukisha, kumbe wahindi. hivi wameomba kibali kutishia watu hivyo?
Hawakuanza leo ni kila mwaka hilo linajulikana kuwa ni moja wapo katika ibada zao utashangaa sana ikiwa hujakulia mjiniNilikuwa chuga/arusha jana, kuna milio hadi tulibadili uelekeo tukajua labda machinga wamekinukisha, kumbe wahindi. hivi wameomba kibali kutishia watu hivyo?