Miliki SUV Bei rahisi kutoka land Rover

High Vampire

JF-Expert Member
Nov 17, 2012
2,915
2,083
Hii hapa SUV Toka land Rover inaitwa free lander 2 nmekusogezea pamoja na ushuru wake ikiwa imeinuka sana basi huu ni mbadala wake badala ya kununua Bei kubwa 32 huu unaupata kwa 23m tu likiwa na airbeg nyingi kuzidi kama harrier au zingine
Screenshot_20220418-153057.jpg
BM010611_963623.jpg
BM010611_6510c3.jpg
BM010611_39ba95.jpg
BM010611_aefe38.jpg
BM010611_963623.jpg


Sent from my Nokia 5.3 using JamiiForums mobile app
 
Mnyama mwingine huyu hapa.

BM068163_2cd5cc.jpg


BM068163_bb880e.jpg


BM068163_8ea44c.jpg


CIF Milioni 12
Screenshot_2022-04-18-15-59-12-770_com.android.chrome.jpg



Kodi milioni 10 tu

Screenshot_2022-04-18-15-56-37-921_com.android.chrome.jpg



Hii gari Jeep ni body tu ila engine na gearbox vyote ni Mercedes Benz.

Engine ni OM642 v6 ikiwa na turbo na ina Cc3000. Hii engine imetumika kwenye gari nyingi sana za Mercedes za diesel. Kuanzia C class, E class mpaka S class.

Gearbox ni W5A580. 5 speed tranny.

Kama mtu ana guts za kununua Mercedes hii siyo gari ya kuikimbia.

Ni Cheaper kuliko haya Maharrier.
 
Mkuu hiyo Land Rover Free Lander ya Bei kitonga ni ya Petrol na Engine yake ni 3200cc. Hiyo Injini ni 6 cylinder na imetumika kwenye Volvo XC90.

Raia wanataka za Turbo Diesel za 2.2L, saizi utaulizwa inanusa mafuta. 2.2L inatosha bongo mafundi na spea zipo inashare injini na Ford na Defender Puma
 
Mnyama mwingine huyu hapa.

View attachment 2191912

View attachment 2191914

View attachment 2191916

CIF Milioni 12
View attachment 2191917


Kodi milioni 10 tu

View attachment 2191918


Hii gari Jeep ni body tu ila engine na gearbox vyote ni Mercedes Benz.

Engine ni OM642 v6 ikiwa na turbo na ina Cc3000. Hii engine imetumika kwenye gari nyingi sana za Mercedes za diesel. Kuanzia C class, E class mpaka S class.

Gearbox ni W5A580. 5 speed tranny.

Kama mtu ana guts za kununua Mercedes hii siyo gari ya kuikimbia.

Ni Cheaper kuliko haya Maharrier.
Hizi gari za miaka hiyo si ndio ambazo waziri wetu mkuu anataka kupeleka muswaada bungeni kuwa ziwe marufuku kuingizwa nchini!!!???
 
Mnyama mwingine huyu hapa.

View attachment 2191912

View attachment 2191914

View attachment 2191916

CIF Milioni 12
View attachment 2191917


Kodi milioni 10 tu

View attachment 2191918


Hii gari Jeep ni body tu ila engine na gearbox vyote ni Mercedes Benz.

Engine ni OM642 v6 ikiwa na turbo na ina Cc3000. Hii engine imetumika kwenye gari nyingi sana za Mercedes za diesel. Kuanzia C class, E class mpaka S class.

Gearbox ni W5A580. 5 speed tranny.

Kama mtu ana guts za kununua Mercedes hii siyo gari ya kuikimbia.

Ni Cheaper kuliko haya Maharrier.
Kweli kabisa

Sent from my Nokia 5.3 using JamiiForums mobile app
 
Mnyama mwingine huyu hapa.

View attachment 2191912

View attachment 2191914

View attachment 2191916

CIF Milioni 12
View attachment 2191917


Kodi milioni 10 tu

View attachment 2191918


Hii gari Jeep ni body tu ila engine na gearbox vyote ni Mercedes Benz.

Engine ni OM642 v6 ikiwa na turbo na ina Cc3000. Hii engine imetumika kwenye gari nyingi sana za Mercedes za diesel. Kuanzia C class, E class mpaka S class.

Gearbox ni W5A580. 5 speed tranny.

Kama mtu ana guts za kununua Mercedes hii siyo gari ya kuikimbia.

Ni Cheaper kuliko haya Maharrier.
Chembe cha moyo aka ndoa ya kikristo
 
Mnyama mwingine huyu hapa.

View attachment 2191912

View attachment 2191914

View attachment 2191916

CIF Milioni 12
View attachment 2191917


Kodi milioni 10 tu

View attachment 2191918


Hii gari Jeep ni body tu ila engine na gearbox vyote ni Mercedes Benz.

Engine ni OM642 v6 ikiwa na turbo na ina Cc3000. Hii engine imetumika kwenye gari nyingi sana za Mercedes za diesel. Kuanzia C class, E class mpaka S class.

Gearbox ni W5A580. 5 speed tranny.

Kama mtu ana guts za kununua Mercedes hii siyo gari ya kuikimbia.

Ni Cheaper kuliko haya Maharrier.

Singapore moja hiyo mzee
 
Mkuu hiyo Land Rover Free Lander ya Bei kitonga ni ya Petrol na Engine yake ni 3200cc. Hiyo Injini ni 6 cylinder na imetumika kwenye Volvo XC90.

Raia wanataka za Turbo Diesel za 2.2L, saizi utaulizwa inanusa mafuta. 2.2L inatosha bongo mafundi na spea zipo inashare injini na Ford na Defender Puma
Free lander zile engine zake 'K-series' ziliharibu kabisa Ile gari,nikapata allergy nayo mpk leo.
 
Free lander zile engine zake 'K-series' ziliharibu kabisa Ile gari,nikapata allergy nayo mpk leo.
Hizi Second Generation hawajaweka Engine za K-Series Kwa Diesel wametumia engine ya Ford Duratoque 2.2L ambayo ipo Kwenye Ford Explorer,Ford Ranger na Land Rover Defender Puma.

Ya Petrol Kuna Moja niliikuta Tunduma ina inline 6 cylinder 3200cc jamaa akasema inashare na Volvo XC90
 
Hizi Second Generation hawajaweka Engine za K-Series Kwa Diesel wametumia engine ya Ford Duratoque 2.2L ambayo ipo Kwenye Ford Explorer,Ford Ranger na Land Rover Defender Puma.

Ya Petrol Kuna Moja niliikuta Tunduma ina inline 6 cylinder 3200cc jamaa akasema inashare na Volvo XC90
Nimekusoma mkuu,maana yangu ilikua baada ya mizunguo ya k-series sikuwahi kuzitamani Tena freelander mpk leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom