Car4Sale Miliki gari ya heshima Fortuner ya mwaka 2013

Swali ni je, yafaa kununuliwa? Isijekuwa mwenye nalo ameshalichakaza sasa anauza hayo mabati. Je, tumsogelee??
Hahahah hilo gari ni piru kabisa, aliopata nalo ajali ni Audi! Alipasua taa na minor scratches.

Ila hio fortuner imenyooka sana.
 
Hahahah hilo gari ni piru kabisa, aliopata nalo ajali ni Audi! Alipasua taa na minor scratches.

Ila hio fortuner imenyooka sana.
Ni mjumbe au mtasha huyo? Kama ni mjumbe huenda anataka kujenga nyumba hivyo hiyo negotiable ataondoa hapo hiyo 5 tu. Lakini ni gari nzuri e
 
Ni mjumbe au mtasha huyo? Kama ni mjumbe huenda anataka kujenga nyumba hivyo hiyo negotiable ataondoa hapo hiyo 5 tu. Lakini ni gari nzuri e
Gari ni piruu yani gari yenye matunzo ya uhakika! Sio gari ya kapuku! Jamaa ni mjumbe.
 
Back
Top Bottom