monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,265
- 11,304
pasoKwaio akaigonga Opa? Mzee?
pasoKwaio akaigonga Opa? Mzee?
Fortuner ni 4 x 4 Harrier inakaa..
Wewe ulikuwa na stalet au IST gari za watumishiMazingira ya mjini tu. Sikuhio jamaa alikuwa na Audi A4 akanivagaa kwa nyuma.
Hio gari ni ya hapa Moshi, naijua sana mwenye nayo alishawahi nisababishia ajali akaenda kunifanyia service kwa gharama zake.
Hapo pichani ni barabara ya kwenda TPC baada ya kupita Getifonga.
Utani wa ngumi huu mkuuAkaigonga terrios kid ya jamaa
Nilitaka kuandika kitu ila nikaishia njiani..nilitaka kusema ni true off roader..ndo maana inaikalisha harrierkuwa 4 x 4 ndio kuikalisha harrier
Kwaio akaigonga Opa? Mzee?
Itakua ulienda moshi kuwapigia misele akina makaaya muccobs nini?Eeh mkuu ila alinifanyia service
Hahahah naishi nao tu huku. Mo town life!Itakua ulienda moshi kuwapigia misele akina makaaya muccobs nini?
Nilitaka kuandika kitu ila nikaishia njiani..nilitaka kusema ni true off roader..ndo maana inaikalisha harrier
Hahahaha halafu nilijuaga upo Dsm..mzee...watembezee tu viumbe waleHahahah naishi nao tu huku. Mo town life!
Bongo joto lilinikimbiza ila naskia now pako chilly! 😂😂😂 lazma nidondoke soon.Hahahaha halafu nilijuaga upo Dsm..mzee...watembezee tu viumbe wale
Nilitaka kuandika kitu ila nikaishia njiani..nilitaka kusema ni true off roader..ndo maana inaikalisha harrier
Swali ni je, yafaa kununuliwa? Isijekuwa mwenye nalo ameshalichakaza sasa anauza hayo mabati. Je, tumsogelee??Hio gari ni ya hapa Moshi, naijua sana mwenye nayo alishawahi nisababishia ajali akaenda kunifanyia service kwa gharama zake.
Hapo pichani ni barabara ya kwenda TPC baada ya kupita Getifonga.
Hahahah hilo gari ni piru kabisa, aliopata nalo ajali ni Audi! Alipasua taa na minor scratches.Swali ni je, yafaa kununuliwa? Isijekuwa mwenye nalo ameshalichakaza sasa anauza hayo mabati. Je, tumsogelee??
Ni mjumbe au mtasha huyo? Kama ni mjumbe huenda anataka kujenga nyumba hivyo hiyo negotiable ataondoa hapo hiyo 5 tu. Lakini ni gari nzuri eHahahah hilo gari ni piru kabisa, aliopata nalo ajali ni Audi! Alipasua taa na minor scratches.
Ila hio fortuner imenyooka sana.
Gari ni piruu yani gari yenye matunzo ya uhakika! Sio gari ya kapuku! Jamaa ni mjumbe.Ni mjumbe au mtasha huyo? Kama ni mjumbe huenda anataka kujenga nyumba hivyo hiyo negotiable ataondoa hapo hiyo 5 tu. Lakini ni gari nzuri e
Hizi gari nazipenda lakini sijui kwanini bei zake hazishuki wakati wameshatoa model mpya yake...Toyota Fortuner
Model year:2013
Engine:1kd
Diesel
Manual
Bei: Milioni 65 (negotiable)
Contact:0658124554
Mashine ya safari hii mkuu usiikose
View attachment 1529192View attachment 1529193View attachment 1529194View attachment 1529195View attachment 1529197